Na chaajabu uso wake ulikua mdogo hata hajafanya kama anavyofanya sikuzote manake nilitulia kama gogo nikamtizama usoni jioni katoka kaenda kununua zawadi ananiletea yaniii..
Bahati mbaya,ivi ingekua yeye angenielewa? nisawa lakini as long as limemridhisha wala asiwe na wasiwasi kama ana anafunga nyoka...Anajutia kosa. Unajua, sisi ni binadamu, hili suala hakuna mwanamke asiyejua wanaume wenzetu udhaifu wanao, na siku hizi wanawake pia. Cha msingi akutunzie heshima, ametunza heshima yako lakini bahati mbaya inmetokea, alikuwa mdogo, na zawadi akaleta, samehe, maisha yaende mbele. Jamani tusijipe presha na vidonda vya tumbo.
Ameniita baada ya miaka 7 ya ndoa,na pia haijalishi ningefanya mie asingenielewa na sikufichi week sasa tangu yatokeeinategemea alianza kukuita lini hilo jina, kuna wengine wameachana na hao wapenzi muda mrefu na wala hawana uhusiano tena lakini unakuta tu jina halitoki kichwani, mfano wengi majina ya wapenzi wao wa kwanza huwa inakuwa ngumu sana kuwatoka vichwani.
Dharau sana yani nilitulia kama gogo alipotaja hilo jina kama nilomwagiwa maji baridi bila kutegemea,lakini wacha tuende nyumbani huko ndio ntakakomaliziana nae kama kurudi kwake au kurudi kuanza maisha mapya...aisee hiyo ni dharau kubwa mno, ina maana hakumbuki yuko na nani kitandani? dawa ingekuwa kumsukumilia mbali alafu na kumuuliza hilo jina linafata nini?
sijui kama ataweza kumeza,lakini wacha awe mjinga yeye staki kushindana na mshenzi wa tabia kwani hakutokua na tofauti baina ya mshenzi na Muungwana..............inaboa! ila unaonaje ukamtaim afu utaje jina la ex wako! (just saying)
Utamu ulimzidi haya bahati yake utamzidi sanaa hapo tutakapofika nyumbani.....utamu ulimzidi ndio maana kataja jina la mtu mwingine wala usikasirike ni maisha tu ndani ya ndoa kama una mwamini muonye tu mengi kama kawa na safiri yenu
Habari za Hasubuhi waungwana,
Naa swali linanichokoa roho,ivi pale unapokua na mumeo mko kwenyeuwanja wa mahaba halafu mwenzio
baada ya kukuita kwamfano Fatma anakuita fayka inamaana ndio mtu wake wewe boya tuu hapo au mpaka
amfikirie huyo ndio bao upewe au inakuwaje? au pale anapo kuita akajitia kasahau anaita jina hilo au jengine inakua
keshakuchoka au?