MTOA MADA NAONA UMEKIMBIA KULETA VIELELEZO BAADA YA KUTUAHIDI KULETA KADI YA GARI LAKINI UKUFANYA IFANYA IVYO
baada ya mtoa mada kutuahidikuleta ushaidi wa kadi ya gari na vielelezo vingine vinavyoonesha namna gani mgombea ubunge wa Ludewa kupitia tiketi ya chadema mr mchambichaka anavyohujumu...
MTOA MADA NAONA UMEKIMBIA KULETA VIELELEZO BAADA YA KUTUAHIDI KULETA KADI YA GARI LAKINI UKUFANYA IFANYA IVYO
baada ya mtoa mada kutuahidikuleta ushaidi wa kadi ya gari na vielelezo vingine vinavyoonesha namna gani mgombea ubunge wa Ludewa kupitia tiketi ya chadema mr mchambichaka anavyohujumu...
MIMI najaribu kujiuliza swali dogo sana kutoka katika halmashauri yangu ya kichwa; kwamba Lema amefanya kosa gani? wewe ulieandika posti hii unautashi kiasi gani? huyo mteuliwa mr mulongo pia anautashi upi katika jambo ili? ningekuona wa maana sana endapo wewe ungeandika kwamba ni kwa nini ccm...
Wananchi hatuna mamlaka na boss wa TANESCO maana tayari tuna mtu tuliyempa nguvu ya kuajiri na kutimua wanaofanya vibaya katika wizara zetu ambaye ni waziri, sasa ntaanzaje kumusakama asiyenihusu? napaswa kumwambia waziri na kwa kuwa hata mtwara kuna tatizo na ni kwenye wizara yake hiyohiyo kwa...
TANESCO wilaya ya Ludewa wametangaza kutokuwepo kwa umeme kwa muda usiofahamika kwa kuwa generator zinaishiwa mafuta hivi leo. kulingana na maelezo yaliyotolewa katika tanzazo hilo yanaonyesha wazi kwamba tanesco Ludewa hawana ujanja wa kupata mafuta, na kwa tetesi za chini chini nilizonazo ni...
mkuu! uliloandika ni la maana sana na la msingi, lakini wapo watu ambao kufikiri kwao ni finyu watakupinga tu kwa sababu ya kufaidika kivyao, leo hii gesi inatoka rungwe lakini watu wa rungwe hawana faida nao kwa sababu tu, hakuna wa kuwasemea. leo tunaona mtwara wameamua kuingia front wao...
Wananchi watanzania wengi tunahitaji mabadiliko, hatuhitaji propaganda zisizokuwa na msingi nape pamoja na wewe wote hamuijui katiba ya chama cha mapinduzi sasa soma hapa.
13. (1) Uanachama wa mwanachama
utakwisha kwa:-
(a) Kufariki.
(b) Kujiuzulu mwenyewe.
(c) Kuachishwa kwa mujibu wa Katiba...
13.
(1) Uanachama wa mwanachamautakwisha kwa:-
(a) Kufariki.
(b) Kujiuzulu mwenyewe.
(c) Kuachishwa kwa mujibu wa Katiba.
(d) Kufukuzwa kwa mujibu wa Katiba.
(e) Kutotimiza masharti ya uanachama.
(f) Kujiunga na Chama kingine chochote
cha siasa.
(2) Mwanachama ambaye uanachama
wake unakwisha...
BALANCE OF MILITARY POWER IN AFRICA
BALANCE OF MILITARY POWER IN AFRICA
African Country
Active Troops,
Reserve
Paramilitary,
Total Troops
Egypt
450000
254000
405000
1109000
Eritrea
202000
250000
0
452000
Morocco
196300
150000
13500
359800
Algeria
127500
150000...
Hivi hizi hukumu za namna hii zinaruhusiwa kweli, ni kweli watanzania hatujui sheria lakini mbona hii hukumu inaonyesha kabisa kwamba niya ni kudholotesha maisha ya wapigania uhuru wa tanzania ambayo iko chini ya mkoloni sisiem!
Hakika ningekuwa kiongozi wa chadema ningemchukulia hatua lusinde...
kwanza ni rais wa kwanza tanzainia kuingia Ikulu na mwanamke wa kuazima
pili ni rais ambaye sikuwahi kusikia kama ana mtoto japo aliazima mke kwa Mr mramba na hapa
najiuriza mbona watu wanapenda sana pesa? ilikuwaje wazir msitaafu wa fedha akakubali mkewe kupigwa kiboga na jamaa hili,
ili yeye...
majungu bana hutayajua tu. jamaa huyu ni mchapa kazi kweli kweli hata deo filikunjombe anamjua, lakini mimi kama mimi ninacho kijua ni makundi ya kisiasa ndiyo yaliyo peleke jamaa kuonekana ni mla rushwa. lakini lipo jambo unapaswa kulijua mtanzania kwamba kisheria kama umeingiziwa pesa na mtu...
moja kati ya sifa za kuwa shoga ni kuwa na tabia za kike, na sifa za kike ni pamoja na ktoga masikio na kuvaa hereni. Poleni wana arumeru maana najua mtakubali kumchagua shoga hili iwe rukusa kuoana jinsia moja arumeru sipati picha sijui itakuwaje? Maana ukienda kuomba ardhi tu kwa shoga lazima...
leo hii tunduma, hapana usalama baada ya bendera ya chadema kushushwa kwa kukata mlingoti wake wa chuma huku ikidaiwa kwamba, wameukata hili kuondoa uchafu kwa mgeni ambaye ni makamu wa rais na akisha ondoka watauludisha.
Lakini wananchi wamegoma kwa hiyo hapa ffu nyomi kuhakikisha bilal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.