Hatua ya kwanza kohoa kwa nguvu mara tano halafu muangalie cha uroho anatikisika?ukiona flesh basi ni ugonjwa tu ukiona kimya basi ni tego hilo ila izi noti feya kwakitendo ulichokuwa unataka kukifanya hata shetani hapendi ila MUNGU ANAKUONA
Asilimia kubwa ya wabunifu wa zamani walifanya vitu kimakosa ndipo kukagundukika kitu kipya mfano tuchukulie ugali watu zamani walikuwa wanakula nafaka kwa kutafuna ila siku moja dogo kaona kuliko nitafune pora nipondeponde nibwie tu jumla hapo wakagundua unga siku nyingine dogo kashindwa kubwia...
Ndio mana wenzetu wa nje ya tanzania wakipita na kugundua ni bendera ya taifa husimama kutii lakini wanapoona wewe mwenye nchi hujali wanatuona mamburura
Kuoa mke wa pili ni jambo zuri kwa mwanaume na nizuri kwa mwanamke pia tatizo lipo kwa wanawake huwa hawapendani kamwe hata we mwanaume ufanyeje never be the sawasawa hata siku moja .Naukiuliza ndoa nyingi vipi mumeo ametulia husema wapi anavidem nje kibao sijui nimfanyeje sasa kaamua kuoa ili...
Unalala vibaya hadi njia ya hewa inajikunja hii hali huwatokea wengi na kuamini ni wachawi ila mlalo wako ndio uchawi jaribu kulala vizuri na hakikisha mwili hauchoki sana maana mwili ukichoka sana hufanya ulale bila mpangilio na kujikunjakunja shingo mishipa ya hewa inajikunja na we we kukosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.