tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,307
Huwa najiuliza hivi ingekuwaje kama:
1. Watu wote tungekuwa sawa; yaani hakuna tajiri wala maskini, mjinga wala mjanja, msomi wala ndina, mweusi wala mweupe, mrefu wala mfupi nk ingekuwaje?
2. Magonjwa, njaa, kutendwa, kukataliwa, wizi, uongo, umbea, uzinzi, unafki, dharau nk visingekuwepo dunia ingekuwaje?
3. Pesa; yaani kwa sasa kusiwepo na pesa kabisa itakuwaje, turudi kwenye ile system ya kale ya kubadilishana bidhaa.
4. Wanadamu tungekuwa na mating behaviour kama wanyama wengine e.g kuku, punda n.k ingekuwaje.
Mf. Mwanaume akitaka kumpanda mwanamke basi watakimbizana from mbagala akimdakia ubungo haijalishi kuna akina nani hapohapo mambo hadharani.
5.Kusingelikuwepo utawala diniani; yaani kila mtu anafanya atachojisikia haijalishi madhara yake ktk jamii.
6. Pombe, sigara na vilevi vingine visingekuwepo dunia ingekuwaje.
7. Wanawake ndio wangekuwa vichwa vya familia ingekuwaje, je familia zingekuwa na amani au vurumai za kutosha?
Najiuliza tu ingekuwaje kama: wewe unajiulizaje, karibu.
1. Watu wote tungekuwa sawa; yaani hakuna tajiri wala maskini, mjinga wala mjanja, msomi wala ndina, mweusi wala mweupe, mrefu wala mfupi nk ingekuwaje?
2. Magonjwa, njaa, kutendwa, kukataliwa, wizi, uongo, umbea, uzinzi, unafki, dharau nk visingekuwepo dunia ingekuwaje?
3. Pesa; yaani kwa sasa kusiwepo na pesa kabisa itakuwaje, turudi kwenye ile system ya kale ya kubadilishana bidhaa.
4. Wanadamu tungekuwa na mating behaviour kama wanyama wengine e.g kuku, punda n.k ingekuwaje.
Mf. Mwanaume akitaka kumpanda mwanamke basi watakimbizana from mbagala akimdakia ubungo haijalishi kuna akina nani hapohapo mambo hadharani.
5.Kusingelikuwepo utawala diniani; yaani kila mtu anafanya atachojisikia haijalishi madhara yake ktk jamii.
6. Pombe, sigara na vilevi vingine visingekuwepo dunia ingekuwaje.
7. Wanawake ndio wangekuwa vichwa vya familia ingekuwaje, je familia zingekuwa na amani au vurumai za kutosha?
Najiuliza tu ingekuwaje kama: wewe unajiulizaje, karibu.