tingetinge2
Member
- Oct 15, 2016
- 32
- 15
Wadau waJF najua mara nyingi hutoa msaada kwa mambo ya afya. Mimi ni mvulana nina mwaka wa pili kwenye ndoa sijabahatika kupata mtoto
Niliwah kupima kipind cha mwaka 1 nyuma niliambia Nina tatiz la low sperm, poor progressive, poor morphology. Sivut sigar na sielewi tatizo hili linasababishwa na nini .
Naomba msaada wa dawa na hospital ninayoweza kupata matibabu Asanten sana
Niliwah kupima kipind cha mwaka 1 nyuma niliambia Nina tatiz la low sperm, poor progressive, poor morphology. Sivut sigar na sielewi tatizo hili linasababishwa na nini .
Naomba msaada wa dawa na hospital ninayoweza kupata matibabu Asanten sana