Habari zenu ndugu wana jamvi kuna ndugu angu amepatwa na hili tatizo la kupata maumivu makali sehemu za mfuko wa korodani kuuma hali inayosababishwa na mirija ya kutoa damu iliyokwisha tumika kwenye test (korodani) kutosukuma damu vizuri baada ya kuwa imeisha tumika hivyo kupelekea maumivu...
Huo ugonjwa aliopima wa kumfanya achanganyikiwe ni upi wa kiwa kwenye ubora wao huwaga hawashauriku wanasema wanakula maisha wakiteleza eti tuwaombe hivi leo hii Gigy Money akiteleza akawa hoi bado mtasema tumuombe wakati hasiki la yoyote yule now akiwa kwa ubora wake KILA MTU ATAVUNA ALICHO...
Mwenye kufahamu hili tujuzane maana misuko suko anayopitia kama bado diwani anapata muda muda gani wakusikiliza kero za wananchi wake maana kila kukicha kwake afadhari ya jana?
Hawa jamaa siwapendi kwa sababu ya dharau zao kuna mwaka nilikuwa nasoma shule mojawapo ya secondari iliyopo kati kati ya jiji letu dar ilikuwa ni kawaida jion mkiwa chini ya kituo mkusubiri gari sana sana kituo cha Congo bibi moja la kihindi tema mate toka gorofani
But hawa jamaa wanaongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.