Halafu hata sio watu wapya wanaotapeliwa, wale wale waliotapeliwa kwenye kampuni ya kalyinda ndo hawa wamejazana kwenye LBL,
Walio wengi ni wale walokole wanaoishi kwa kuombewa na manabii na mitume wao, Kuna watu nchi hii wanaamini wanaweza kufanikiwa bila kutumia akili bali kulia makanisani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.