Recent content by mojave

  1. M

    JamiiForums Tanzania Single maza bwana, yaani baada ya kukurudisha kwenye chati ndo umeamua kumrudia baba watoto wako

    hahahaha safari za nje au za ndani?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Usioe wala kuanzisha na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke wa namna hii utajuta

    Unatakiwa kujua feminist hana utii, Sasa tanguliza hisia na mihemuko ya mapenzi kwa kuhisi unaweza kumuongoza feminist anayepambana kuvunja masculinity, Uhuru ni wako chukua feminist mmoja oa with time you will be learning along the way. Kufanywa mwanamke sio kubadilishwa jinsia ni yeye kuwa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Usioe wala kuanzisha na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke wa namna hii utajuta

    Hayo mambo yako unayofanya as if uko peke yako unatakiwa umshirikishe kwa sababu ya hao watoto uliozaa nae, usipofanya hivyo umetengeneza tatizo na watoto mliowazaa watakuwa bitter sana kwenye jamii sababu wamelelewa na wazazi wenye kujilinda na sio upendo
  4. M

    JamiiForums Tanzania Pesa haimpi kiburi Mwanamke bali humpa uwezo wa kutovumilia ujinga

    Uko sahihi, sio kwa mwanamke tu ni kwa binadamu yeyote anahitaji nguvu ya maamzi isiyotokana na njaa. Pesa na Elimu ni nguvu zinazotumika kutoa uwezo wa kusikilizwa na kufanya maamzi bila kutegemea return kwa mtu unayefanya maamzi juu yake. Angalia mfano wa viongozi tulionao wenye vipato vidogo...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Usioe wala kuanzisha na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke wa namna hii utajuta

    Ukishakutana na manipulation ya kufanywa mwanamke in the name of love utarudi hapa na milio kama ambulance
  6. M

    JamiiForums Tanzania Usioe wala kuanzisha na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke wa namna hii utajuta

    Fanya makosa yote lakini sio kuoa single mother, single mother ni mwanaume mwenye sura ya kike
  7. M

    JamiiForums Tanzania Usioe wala kuanzisha na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke wa namna hii utajuta

    Nilijua ndo atakuwa wa kwanza
  8. M

    JamiiForums Tanzania Tabia hizi zina kera watu wengi

    Baadae anashikana na watu mikono wakati wanasalimiana hehehehe
  9. M

    JamiiForums Tanzania LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji

    Halafu hata sio watu wapya wanaotapeliwa, wale wale waliotapeliwa kwenye kampuni ya kalyinda ndo hawa wamejazana kwenye LBL, Walio wengi ni wale walokole wanaoishi kwa kuombewa na manabii na mitume wao, Kuna watu nchi hii wanaamini wanaweza kufanikiwa bila kutumia akili bali kulia makanisani na...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Laptop inauzwa dar es salaam

    Unakumbushwa kuandika bei kama unauza, Aidha unagawa bure ndo maana hujaweka bei bayana
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hatutaki tena ardhi tunataka intermarriage Zanzibar

    Unamaanisha wale watu wanapenda hiyo michezo?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ufanyike mdahalo (Debate) kumaliza utata kuhusu Bandari

    Okay, Nimekuelewa KADA
Back
Top Bottom