Ukiingia katika account yako katika tovuti , kisha ukilogin watakuambia pia vitu ulivokosea na kuweka nafas ya wewe kurekebisha !
https://olas.heslb.go.tz
Habarini wadau ! Naimani mpo poa na wazima wa afya , nlikuwa kati ya waombaji wa mkopo mwaka huu ujao wa masomo. Baada ya uhakiki leo nimepata list kwamba - APPLICANT IDENTIFICATION DOCUMENT iko invalid. Nlikuwa naomba kujua shida ni nini ? Na wanahitaji nini heslb as an identification document...
Kuna kitu kinaitwa Trial of scar (Kujaribu kujifungua kawaida baada) / VBAC (Vaginal birth after caesarian section).
Ni hivi ukiwa na operation moja kuna uwezekano wa kukujaribu na kukuruhusu ujifungue kwa njia ya kawaida kwa mimba ya 2, lakini ukiwa umefanyiwa operation 2 ( yaani una 2 scars )...
You need to see a psychiatrist akusaidie.
Kuna vitu kama anti-depressants , lakini pia kuna therapies unaweza ukapewa na ma psychiatrist kama CBT (cognitive behavioural therapy ikakussaidia)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.