Recent content by mohammad_othar

  1. mohammad_othar

    Tatizo la form yangu ya mkopo !

    Birth cerfitificate au kitambulisho cha NIDA ?
  2. mohammad_othar

    Tatizo la form yangu ya mkopo !

    Ukiingia katika account yako katika tovuti , kisha ukilogin watakuambia pia vitu ulivokosea na kuweka nafas ya wewe kurekebisha ! https://olas.heslb.go.tz
  3. mohammad_othar

    Tatizo la form yangu ya mkopo !

    Nimekuelewa mkuu ! Ahsante
  4. mohammad_othar

    Tatizo la form yangu ya mkopo !

    Wanataka aina gani ya kitambulisho ? Ni upload cha NIDA ? na je ni scan photo copy au ?
  5. mohammad_othar

    Tatizo la form yangu ya mkopo !

    Habarini wadau ! Naimani mpo poa na wazima wa afya , nlikuwa kati ya waombaji wa mkopo mwaka huu ujao wa masomo. Baada ya uhakiki leo nimepata list kwamba - APPLICANT IDENTIFICATION DOCUMENT iko invalid. Nlikuwa naomba kujua shida ni nini ? Na wanahitaji nini heslb as an identification document...
  6. mohammad_othar

    Kwa wale wataalamu wa madawa nimeenda hospitali kwa tatizo la sikio langu

    Linalotoa sauti unamaanisha nini? Naomba ufafanue Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mohammad_othar

    MSAADA Ku-unlock Modem ya SMART TZ huawei- E5573 mifi

    Naombeni msaada tafadhal Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mohammad_othar

    Post a word starting with the last letter of the previous word

    Elephant Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mohammad_othar

    Muda wa kubeba mimba tena kwa mtu aliyejifungua kwa operation ni upi?

    Kuna kitu kinaitwa Trial of scar (Kujaribu kujifungua kawaida baada) / VBAC (Vaginal birth after caesarian section). Ni hivi ukiwa na operation moja kuna uwezekano wa kukujaribu na kukuruhusu ujifungue kwa njia ya kawaida kwa mimba ya 2, lakini ukiwa umefanyiwa operation 2 ( yaani una 2 scars )...
  10. mohammad_othar

    Pombe ni mbaya kwa afya yako

    Narekebisha : 14 Units (140mls) kwa mwanamke kwa wiki na 21 (210mls) Units kwa mwanaume kwa wiki ndo recommended.
  11. mohammad_othar

    Natafuta tiba ya Depression

    You need to see a psychiatrist akusaidie. Kuna vitu kama anti-depressants , lakini pia kuna therapies unaweza ukapewa na ma psychiatrist kama CBT (cognitive behavioural therapy ikakussaidia)
  12. mohammad_othar

    Kuhusu kifafa.

    Hii kamba :eek::eek::eek::eek::eek:
Back
Top Bottom