Dar nihatari sana maana mm!
location; shule ya munanila high school ipo wilaya ya buhigwe pemben kidogo ya mji wa kasulu(wilaya mpya) ni mpakani na burundi. mungu atujarie na atulinde tufike salama.
Unajua ktk maisha kuna vikwaza vile vile ktk kaz pia ktk elimu na ww yamekukuta ktk ndoa.kitu cha msing ni kwamba ukipatiwa vikwazo ktk elimu huwez kuacha shule au kaz au kufa ila ni kukubali kwamba yametokea.plz kubali halafu cool down.
Jaman km kuna jina baya ukiacha lile la "kichwa cha mwendawazimu" tz tunastahil kupewa maana ipo mwaka m2 yupo chuo kikuu hajui hata kuandika propozo ya kiingerza hy weeeeeee BRN matokeo makubwa ss
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.