Recent content by mohamedmasud

  1. M

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Naomba kufahamu bei halisi za ving'amuzi vya kutumia antena maana ktk Matangazo ya redio tunasikia sh 22000 ukienda madukani unaambiwa sh 52000 kwa hapa mwanza maeneo ya Igoma je hawa ni mawakala wenu au wako kibiashara tu nimekwenda hata mjini bei ni sh48000 tuwekeni wazi au muwe na duka kama...
  2. M

    Dar: Makonda azitaka Benki zimwambie waliokuwa wanapokea mishahara hewa

    Swali ambalo mimi huwa najiuliza halina majibu ni hili Inakuwaje mtu anakwenda benki anachukua mishahara ktk akaunti zaidi ya moja benk wasijue? Hizo namba za siri walipewa na nani kifupi kuna watu wa benki nao walishiriki,hii inatakiwa kuzoa wahasibu na hao wa benki wahojiwe sura zao...
  3. M

    Serikali yatangaza kutaifisha na kufuta umiliki wa ardhi yote isiyoendelezwa

    Waachane kwanza na mashamba kuna mapori Mengi hayana mtu wanaishi ndege tu,maeneo ya mijini ndio kuna usumbufu wa watu kunyang'anywa maeneo vijijini na porini hawaendi kwanini au hawapaoni?
  4. M

    Yatakayojiri 2016 katika sekta ya Milki (real estate), Bei za pango kushuka

    Mwaka huu hakuna nafuu yoyote itakayotokea hata hizo kodi za pango hazitashuka kutokana na Madalali uchwara labda serkali ijenge nyumba za kupangisha,awamu hii ya tano iko kwenye mlima mrefu sana matatizo yapo kila kona hata saruji,Nondo na mabati havita shuka bei
  5. M

    Makosa ya mwanaume yanayosababisha mke amsaliti

    Mwanamke au mwanaume anaejitambua hawezi kuchepuka maana ndiyo mwanzo wa kuleta magonjwa pia watoto wa nje ya ndoa ukiangalia hayo madhara unakimbia mapungufu ya mwenzako unaleta maafa faida gani,hata huyo mchepuko unaona anafaa kwa kuwa hamjazoeana lakini mwisho wa siku anakuona wa kawaida na...
  6. M

    Makosa ya mwanaume yanayosababisha mke amsaliti

    Kibamia isiwe kisingizio wanawake wengine wanamafuriko ya mto Nile hata ukutane na mpini wa muninga hasikii
  7. M

    Makamu wa Rais atoa saa 24 kuwatia nguvuni wale wote waliohusika mauaji Sengerema

    Hawa watu ni wanyama kuua watu wote hao nadhani kuna chuki yawezekana hata mashamba yaweza kuwa chanzo sidhani kama ni ushirikina,Polisi wakifanya uchunguzi watabaini maana visa vya aina hii lazima chanzo kipo tatizo ni muda waliopewa Polisi kuwakata hao wahusika ni mdogo na wao wanajua kuwa...
  8. M

    Mbunge wa Ilala, Zungu ateuliwa kuwa mwenyekiti wa Bunge

    Hiyo nafasi ingebaki wazi tu ili kubana matumizi maana hao waliokuwepo wanatosha,sioni kama kuna jipya kwa aliye ingia hata bunge lilopita alikuwa na wadhifa huo hatukuona ufanisi tumkumbuke mh Sitta huyu mzee alikuwa Spika sasa hivi sijui kimebaki nini
  9. M

    Idadi ya watumishi hewa yafikia 248, Mkuu wa Mkoa Paul Makonda amsimamisha kazi Afisa Utumishi Ilala

    Makonda yuko sahihi maana kumsimamisha kazi mtumishi maana yake utachunguzwa ikibainika ni kweli anafukuzwa au kuachishwa kazi,maana yake ukisimamishwa kazi unalipwa nusu mshahara, Mtazamo wangu tusianze kulaumu wanaotumbua maji kuanzia Rais na watendaji wengi iwe mtu kaonewa ama laa maana...
  10. M

    Video: Mama atoa machozi wakati akiongea na Rais Magufuli

    Huyu Rais atatusaidia tuache kejeli zisizokuwa na maana anachukua hatua bila kkusita wala kuchelewa,wanaotumbuliwa majipu walitaka kuwa miungu watu wanatumia vyeo vyao kupiga pesa sasa hao waonewe huruma ya nini kama mtu anaogopa harufu ya majipu azibe pua kuliko kuhurumia kupe hata hao...
  11. M

    Prof. Tibaijuka: Rais aache kutumbua nyama akayaita majipu!

    Prof Anna anauhakika kile anachokisema,kwanza msomi pia amekuwa mtumishi kwa muda mrefu anajua mambo yalivyo tusubiri kama majipu halisi yatafikiwa au nyama zitaendelea kukamuliwa ila mimi naona majipu yamekamuliwa mfano Hawa wafanyakazi hewa wakuu wa mikoa na wilaya hata Bandarini
  12. M

    Uchaguzi Mkuu wa Yanga ni Juni 05, 2016

    Mnapowalazimisha yanga kufanya uchaguzi je wanachama wakiamua kuchagua viongozi walewale itakuwa nini maana nguvu iko kwa wanachama Bmt wanasema uongozi sio halali hamuoni kuwa itakuwa aibu kwenu nyie mnaotaka kuwalazimisha uchaguzi wana yanga?
  13. M

    UHABA WA SUKARI: Serikali mkoani Kagera yasitisha uuzwaji wa sukari kwa bei ya jumla

    Hata hayo maduka yatakayopewa Sukari yatakuwa ya watu wale wale wajanja waliotoka mikoa jirani maana pesa hazishindwi chochote,ngoja tuone pili kiwanda kinatakiwa kutangaza bei elekezi ili wananchi waijue
Back
Top Bottom