Advanced mathematics nilikuwa nakula sana msuli kwa kukariri formula ila mtihani ukija maswali yanakaba kinoma. Mtihani unamasaa 3 nafanya mtihani dk 20 zingine nazitumia kulala. Thank GOD Niliondoka na two ya 11 form 6 uku math nikiwa na f , kombi EGM.
Baada ya kujichangachanga kama laki 2 na nusu, nikapanga niende pangani tanga kumsaka mtaalamu (mganga wa kienyeji) kwaajili ya tiba ya maradhi yaliokuwa yakinisumbua pamoja na kuweka mambo yangu sawa.
Safari niliianza nikitokea Dar kwa basi la kampuni ya hood, nauli ikiwa 22000, na majira ya...
Umenikumbusha mbali miaka hiyo nasoma shule ya msingi mashujaa pale mitaa ya sinza. Watu tulikuwa tunatishana mara popo bawa kaoneka tandale wiki hii anakuja sinza, oh apo kiroho juu, eti choo cha mwisho cha shule ukienda unakutana na bibi kizee anasonga ugali alafu anakuambia karibu mjukuu...
Hayo ndo madhara kuokota ovyo wanawake barabarani na kumuingiza gheto. Hujui anatokea wapi? Aliishi nani? Jiandae kutupiwa kombola. Na kama demu ni kabila la mchagga, Mungu wangu! Umekwisha
Hawa waganga matapeli wameanza lini uko sumbawanga? Mbona sumbawanga kunasifika kuwa na waganga konk. Nilipanga nije uko kwa mtaalam ila wameshanikatisha tamaa
Madogo wa UDSM uvivu na ubishoo tu unawasumbua. Waulizeni madogo wa UDOM, kule mtu anatoka humanity kwa mguu mpaka CIVE ni zaidi ya 10km kuwahi kipindi au kupiga pepa. Wengine wanatoka pale social mpaka humanity zaidi ya 10km kupiga pindi na mtihani haijalishi ni usiku au alfajiri madogo...
Nikikumbuka ile written interview ya TRA mwaka 2023 pale CIVE UDOM nikafanyiwa figisu. Safari hii kubabake kitaeleweka tu. Ngoja nizidishe dua na maombi hasa mwezi huu mtukufu.
Wimbo unaoimbwa "nyako nyako nyakoko nyako nyako nyakokonya" majamaa walikuwa wamevaa jezi uku wakipiga danadana mpira mbele kukiwa na mic za kuimbia inanikumbusha mbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.