Kuna wanawake wanaojua kutunza ndoa zao hiyo habari hawaiwazii kabisa ila kuna wengine ukitega mgongo alisha anza kumuandaa jamaa yake cha msingi ni kutafuta maisha siku ukimfumania iwe ndio mwisho wa mchezo lakini kama na wewe una tabia kama hizo huo ni mshahara wako usilalamike maana malipo...
Mipango si matumizi Huduma za afya bado c nzuri Serkali ijipange ili kuhakikisha inaboresha huduma kisha iweke bima nafuu sio kukusanya pesa. Za bima ndio uwe mtaji wa dawa
Huu uzi wa watu wazima na wachumi hauhitaji porojo bali tafiti za kina washabiki mnapotosha mada unapochangia soma kwanza hoja za waliotangulia kisha andaa point zako changia sio kuleta pumba wakati michango ya watu inaelimisha au kufanya mzaha ktk mambo ya msingi
Shisha sawa ipigwe marufuku je hii sigara iliyoandikwa ni hatari kwa afya yako na kweli inaleta kansa kwa nini haipigwi marufuku kbs na badala yake inakatazwa kuvuta hazarani
Rwanda ni Nchi ndogo lakini angalau inaonekana kuwapa wananchi wake ahueni ya maisha baada ya miaka ya vita,kujifunza kutokea Rwanda ni vizuri naona urafiki wa hawa waheshimiwa una manufaa pamoja na uadui uliokuwepo awali baina ya mataifa haya mawili,pili Rais wetu ni Mwenyekiti wa EAC...
Wanawake ni kama nyanya za sokoni unainunua kwa kuiona nzuri ukifika nyumbani imesha toa maji,jaribu kubahatisha kwa kuangalia tabia kama unapenda umbo na sura ongezea hapo lakini msome mapema maana viumbe hawa hawaeleweki wanahitaji akili na uvumilivu vinginevyo utabadili mpaka utachoka
Wastaafu nao walitakiwa kupumzika kabisa badala ya kupewa vyeo vipya,waliokuwa na vyeo awamu zilizopita wasiteuliwe tena maana tunawasomi wengi waende wapi? Nakuunga mkono asilimia 99
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.