Recent content by mohal

  1. mohal

    Maajabu ya Busu/Romance/Denda

    Herpes Simplex katika ubora wakee
  2. mohal

    TBT: Unakumbuka nini enzi ya Ngorika ikitamba?

    My brother alikua anasoma Kibaha that time. Akimis ngorika au Buffalo hashuki Dar n'goo! Atadanganya lolote wazee wamuelewe hata kuzuga tumbo la kuhara. Ukizingatia tulikua tunakaa mbali na mjini nauli kama elfu moja hivi, wazazi wanakua wapole tuu aondoke kesho yake. Hii siri nilikua naijua...
  3. mohal

    Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

    Tupiaga kamkeka basi kamoja tulegeze wote vyuma,mi nikipiga laki tank,nakutumia laki mbili
  4. mohal

    Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

    Pork meat is one of the best meat ever!! Usidanganye watu. Kuna joint moja iko nyamanoro,kabla hujafika njia ya kupandisha kawekamo kuna kiti moto moja matata Sana'a!This wkend lazima nimshtue boss tukatandike kilo na ndizi nne.
  5. mohal

    Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

    Ngurue mzuri ni wa miezi tisa toka wamezaliwa ukimtunza vizuri anakua na kilo kati ya 65-75,na nivizuri ukawaasi wakiwa na miezi mitatu Na wanahitaji maji asikudanganye mtu hasa kipindi cha joto ile mida ya mchana unawamwagia maji Kijijini kwetu tuko karibu na mto na mzee kamfungia pump mama...
  6. mohal

    Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

    Mkuu uko mkoa gani?Ngurue wanatafutwa sana maana nakumbuka kipindi niko moshi,kulikua kuna wadau wanatoka Dar kutafuta ngurue,na walituambia kuna kipindi wanaenda mpaka mbulu kutafuta ngurue,mama yangu alikua mfugaji mzuri sana,na Ngurue wa 70kg alikua anamuuza 350k,hii ni kwa wastani wa 5000kwa...
  7. mohal

    Joyce Mhavile: Shujaa asiyeimbwa nyuma ya mafanikio ya Mzee Mengi na IPP

    Ni moja ya radio na tv station zenye maadili
  8. mohal

    Nyumba ya Mengi hapa Machame sasa inamilikwa na wifi yetu

    Mkuu wasukuma wanahela,sema hawanaga showoff,na ni wakarimu mnoo. Na wanapenda wasichana weupe,ukiwa mweupe hata kama unataka ziwa victoria atakununulia
  9. mohal

    Je, mzee Reginald Mengi alikuwa na mjukuu?

    Nakuomba kaa na wazee wenye busara watakueleza nilichokiandika hapa,ndo uje ucomment hakika utanielewa kaka.Pia tofautisha kuoa mke mwingine,na kua na vimada. Kwa wakristu hili kuoa zaidi ya mke mmoja dini haijaruhusu,ila wapo wakristu wengi tuu wenye wake zaidi ya mmoja.
  10. mohal

    Je, mzee Reginald Mengi alikuwa na mjukuu?

    No mi nakupinga mkuu,ulishawahi kusikia neno kuchuria/uchuro. Mara nyingi mzee akianza kumuvu na vibinti,especially ambao ni rika na wanawe na ikajulikana live na jamii inakua kama uchuro kwa watoto wake,wanakua hawaoi au kuolewa,na hata ikitokea wamefanya hivyo,huchelewa kupata watoto au...
  11. mohal

    Nyumba ya Mengi hapa Machame sasa inamilikwa na wifi yetu

    Zamani wazee walikua wanatunyima kuolewa mbali,ila kipindi hichi watu wamekua civilized sana,na ukichangia na masomo,watu mnakutana vyuoni makabila tofauti,na pia sasa wachaga wanaolewa sana na makabila tofauti, especially wahaya,waha,wasukuma,wanyakyusa,wangoni,wamasai,na kaka zetu wanaoa sana...
  12. mohal

    Nyumba ya Mengi hapa Machame sasa inamilikwa na wifi yetu

    Kwa kawaida za mila za kichaga,mtoto wa kiume wa kwanza anakatiwa kiwanja jirani na nyumbani,au kama baba anashamba eneo tofauti na hapo wanapoishi,na wanapoishi ni padogo hapafai kugawa,atapewa hilo shamba akajenge huko,aendeleze ukoo na kuwatunza wadogo zake(huyu ni lango) mtoto wa pili wa...
  13. mohal

    Umeshawahi kujutia kumsaidia mtu?

    Ningekua dereva siendeshi gari,namuachia aende mwenyewe,ningebaki na huyo ndugu yake.
  14. mohal

    Umeshawahi kujutia kumsaidia mtu?

    Mkuu hichi ni kipindi Duniani ambacho binadamu ni mbinafsi sanaa,tunapenda fedha,Mali,kuabudiwa,kujionyesha.nk.so utakuta uyo mchizi anakudis hukuwahi kumsaidia,so once you help some one dont expect akurudishie wema wako. Just tenda wema nenda zako usingoje shukrani .Mungu Mwenyewe...
Back
Top Bottom