Dah nyumba hizi hatari mi nilipanga kwenye nyumba moja,mama Mwenye nyumba alikuwa anaishi hapo,hataki umzidi kwa chochote,cyo kuvaa,kula, yaan maish kwa ujumla,atataka kujua kila cku unapik nn,km ni zaid yk anabadilisha ili tu usimzidi,siku ukimzidi tu ni mvimbo mwanzo Mwisho,na alivyo Bonge...