Recent content by mogesogwe

  1. M

    JamiiForums Tanzania TCU chukueni hatua dhidi ya chuo cha SAUT-Mtwara

    Habari, Moja kwa moja kwenye hoja, Chuo cha SAUT-Mtwara kimechoche kudidimiza ubora wa wahitimu wa chuo hicho kwa miaka kadhaa sasa, sababu kubwa ni kushidwa kuwalipa walimu na kuwatengenezea madeni makubwa huku wengi wakikimbia kusaka masilahi serikalini, na kwenye vyuo binafsi. Kuna baadhi ya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini Bwana Abui, unachochea udini ndani CCM

    Mwenyekiti CCM wilaya Shinyanga Mjini, Bwana Abui, unamchafua na unatumia jina la Mh. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano vibaya kwa maslahi ya nani? unaeneza siasa za udini kwamba Mwk wa CCM taifa anataka waisilam wachaguliwe kwa asilimia kubwa ili wampitishe 2025 kwa kura nginyi...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Prof Shivji: Barua kwa Rais; Ardhi mali ya nani?

    Profesa Shivji hoja na ushauri wako utaeleweka kwa mawaziri wachache! ni muhimu kufuata sheria za nchi.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa Shinyanga Dr. Sengati Unahujumiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya SHIRECU (1984)

    Mh. Mkuu wa Mkoa Shinyanga Dr. Sengati juhudi zako zakuinusulu shule ya BULUBA SEKONDARY zinahujumiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya SHIRECU (1984) Bwana KWIYOLECHA NKILIJIWA Tarehe 19.08. 2021 Mh. Mkuu wa Mkoa ulifika Shuleni BULUBA SEKONDARY ukawasikiliza wafanyakazi wote na wakakueleza matatizo yao...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya Dkt. Stergomena Tax kuteuliwa Ubunge leo na Rais Samia Mawaziri mliopo jiandaeni Kisaikolojia kuna Mmoja wenu anaondolewa

    Dr. Tax anauwezo atasaidia taifa akijitoa na kutumia experience and professionalism.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Suala la Polepole linadhihirisha hata Rais afanye nini ni vigumu kuwavutia team Magufuli

    Ndenda wewe Bungeni ukapiganie maswala ya kitaifa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Polepole uwe na nidhamu na adabu kama ulivyokuwa Awamu ya Tano

    Amepinga serikali kwa lipi? mwili na afya ya mtu inamuhusu Rais? mbona watu wanaugua magonjwa mengi wanashindwa gharama za matibabu mbona hawasaidiwi na huyo Rais? Viongozi wote wa awamu ya SITA ni vigeugeu (Vinyonga). Wakati wa awamu ya tano VP(sasa Rais ) hakuwahi kuunga chanjo ..... Ilikuwa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dhamiri yamlazimisha Rais Magufuli kukiri uharibifu katika uchaguzi wa Oktoba 2020

    Askofu, Umenena haswa! tunapaswa watanzania wote tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Mataifa: Ulimwengu unakabiliwa na janga la ukiukwaji wa Haki za Binadamu

    83 countries have been mentioned!
  10. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

    Nikweli ! tusisubili matamko....
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni sahihi mwanaume kulala nyumbani kwa mwanamke?

    Haswaaaaaaa!
  12. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC), nawasihi, kupitisha jina la Lissu kugombea Urais, ni kuweka rehani Amani na Usalama wa Taifa

    Ulipaswa kushauri alipopigwa risasi, umoja na amani havipo Tanzania, kama watanzania walio wengi hawana amani mioyoni mwao unathani ujumla wa unacho kiita amani kitatoka wapi, vijana wanaopata ajira in wenye mlengo wa mchicha! Private sector ime yumba, udini na ukabila umeshamili kwa spidi ya...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ubadhilifu wa pesa unaofanywa na Mwenyekiti wa Bodi katika shule ya Sekondari Buluba mkoani Shinyanga

    Habari za mwaka mpya wanaJF! Awali ya yote nimpongeze Rais Magufuli kwa uchapakazi wake uliotukuka na kuwa Rais wa Mfano Afrika. Pia Rais wetu amekua mstari wa kupambana na rushwa katika taifa letu ili kuleta usawa. Kimsingi hoja hapa baada ya pongezi kwa kiongozi wetu wa nchi, niende kwenye...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CHADEMA wakiwa kwenye kikao cha dharura kinachoendelea muda huu katika ofisi za Umoja wa Ulaya (EU)

    [emoji29] [emoji29] [emoji29] [emoji29] [emoji29] [emoji29]
Back
Top Bottom