da mkuu yaani umeielezea vizuri sana michadema imeshapata lakuongea wiki nzima itaongea wakati hakuwa na maana wanayofikiri waoHaujamuelewa Mh. Rais. Yeye kasema baraza la madiwani linalounda halmashauri ya jiji halijachaguliwa na wananchi. Japokuwa madiwani wamechaguliwa na wananchi kuingia kwenye mabaraza ya manispaa zao.... Askofu usikurupuke