Nilituma maombi ya kazi hapo tbl ilikuwa tarehe 13/03/2017 katika category ya IT, sasa leo saizi kuna jamaa kanipigia na kuelezea application yangu na kunitaka nitume 25,000/=TSH kwamba nitakapokwenda kwenye interview nitakuwa nimepangiwa kwenye nyumba za wafanyakazi wa tbl.
Namba aliyotumia ni...
kaka uzi wangu unautendea haki hadi nafurahi kuona kuna watu wanajua mambo haya vilivyo na siyo kupelekwapelekwa kama mifugo, huu ni wakati wa kusoma maandiko na kumwomba Mungu kwa jina la Yesu na kupata mafunuo ya roho mtakatifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.