Habari zenu wakubwa kama heading inavyoelezea hapo nahitaji mtu mwenye account ya bolt ya gari ambae haitumii kama atakua tayari kuniuzia anichek inbox tuyajenge
Ukweli kuhusu Mungu huwezi kuupata kwakusoma andiko lolote Bali unapatikana kwa kufanya meditation ya nuru na sauti.
Kwakufanya haina hiyo ya meditation utatambua wewe ni nini, Mungu ni nini, mahusiano yako na Mungu ni yapi.
Karibuni tufanye meditation pamoja.
ZIFUATAZO NI FAIDA ZA KUFANYA MEDITATION.
1. Meditation inasaidia kutengeneza furaha ya ndani.
Tunaposema furaha ya ndani tunamaanisha nini? Ni furaha unayotembea nayo wakati wote, ni furaha isiyotegemea maisha yako yapoje, ni furaha isiyotegemea una vitu gani bali ni furaha inayopatikana...
Hivi jaman kuna uwezekano wa board ya mikopo kufungua system yao tena ili kwa ambao hawakuomba kabisa mkopo waweze kuomba, kwa wenye uzoefu na ili ipoje
Habari wandugu , ninapenda sana philosophy na nataka kuapply hiyo degree pale chuo cha mwalimu nyerere ila ngependa kupata info japo kidogo kuhusu hiyo coarse kwa anayefaham baada yakuhitimu ajira zake zikoje au ni taasisi gan nnaweza kuajiliwa baada ya kuhitimu.
labda kwa kukusaidia tu muanzisha thread ulichokiongea hapo hakijakaribia hata ukweli wenyewe na njia mojawapo yakuufaham ukweli ni through meditation(spirituality meditation) hii njia itakuwezesha kufaham ukweli wa kilakitu siyo kwakusimuliwa au kwakusoma bali kwakushuhudia mwenyewe nakushauri...
hii na mm nmeisikia wa kwanza kaulizwa kasema yeye ni wakala wa ccm wa pili kaulizwa kasema yeye ni wakala wa rais sasa najiuliza hapa rais naye anawakala wake tofaut na wale wa vyama
Ukitaka usikamatwe fanya hivi simu utakayotumia kwa shughuli za kimtandao isiwe simu kwa ajili ya mawasiliano mengine kuanzia line y hiyo simu sajili na jina tofaut na lako email utakayotumia kwenye google playstore isiwe na jina lako alafu download app yoyote ya IP addres spoofing ambayo itakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.