Princess qute
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 621
- 552
- Thread starter
- #21
Hii inaonesha dhahir mkataba hatukuusoma vizur
Magomeni
Me nimegongwa na mwenyekiti tu mana wote ofisi yao moja
yani kwamba!!!!!!!!!!!!!!!Me nimegongwa na mwenyekiti tu mana wote ofisi yao moja
HahahahahahahaNi ajali tu kwenye uandishi umeeleweka, sawa dada
Uwiiiiiiiiiii nimegongewa wakuu si kugongwaNi ajali tu kwenye uandishi umeeleweka, sawa dada

Sentensi tataMe nimegongwa na mwenyekiti tu mana wote ofisi yao moja
Shuleni tunaita kosa la kutumia msamiatia wenye maana zaidi ya mojaSentensi tata![]()
![]()
Samhani lkin 'nimegongwa'
