yey akutak ndo maana akujib,kwahy itabd nawe umwache,cha msing kua makini na gonjwa ili la CORONA,fata maelezo ya wizara ya afya
Sent using Jamii Forums mobile app
kwahy wewe unaangalia wat wanasemaje juu ya ufanyalo kuingz kipato…wew pambn si lazma uajiliwe na serikar,kwan imeandikw wap kwmb mtu aliesoma asichome mahindi na kaz nyngne ulzotaja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hauko serious na maisha wewe…leo tar 13 una takribani masaa 48 fanya kujaza ayo maelezo mtandaoni then tuma hivyo vyeti sahv waviakik kesho…lakini next tyme uwe makini na mambo yako
Ngoja nikuondoe katika mstari wako uo ulio nao uende ukatulie kwa ngumi moja…uliona taarifa kwa umma Tanzania wakikemea yale yanayotokea jimboni texas uko marekani?ukilijua hilo utapata uelewa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.