Unazani kama atatakiwa kuzima hizo za dini aweke zipi maana hata ukiweka Bongofleva au R&B bado kuna utakao wakera tu. Cha msingi jaribu ku sacrifice interest walao kwa dk chache hizo unazopenda utapiga kwenu
Huyu angeanza mwemyewe kujitumbua haya makosa yanajirudia sana ni aibu tuna usalama wataifa tuna washauri lkn empty hayo ndo ya hovyoo anayoyasema raisi kila kuchwapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.