Mkuu huwajui watu vizuri wewe…mtu mzima swala 5 ndo hawezi sema uongo? Hapati wivu?
Wewe apo ungemwambia tu natamani nawewe nikuekee love bite Afu uone reaction [emoji1787] ngoja umpige bidada wa watu afu ukute kweli hakupendi kiivo atakupeleka jela afu aendelee na mchizi Mr. love bite
Uyo aliyekwambia anajuaje kama ni love bite hiyo alama inaeza kuwepo hata ukijigonga au kung’atwa na mdudu..
Unajuaje kama huyo aliyekwambia ana nia njema na penzi lenu?
Kama mchumba wako anakucheat unaona hakufai Tena bora umuache au umpige?
Umefikiria matokeo ya kumpiga mdada wa watu?
Tembelea wodi ya watu wenye kusuka kama ipo.. kingine ukiwa na kisukari ukiumia kidonda kinapona kwa mbinde Au hauponi kabisa wengine wanaoza miguu kama ukifikiria hivi utaacha soda
Hata kama ungekua unapika pilau mbona fresh tu.. ni hao wanaokaza ubongo kwamba mwanaume hapaswi kujua kupika. Hata ukioa sasa km mkeo anaumwa nan atampikia tena pilau kitu chepesi sana kupika
Kwa iyo hata hela ya salon humpi kisa wote mnafanya kazi? Ndo maana anakubaliana na baba yake mahari iwe kubwa
Afu achaneni nyie hampendani kama unampenda mtu huwez sema kuna wanawake kibao wanataka kuishi naww… ACHANENI [emoji4]
Hawawez kuelewa…[emoji23][emoji23]Sawa tenda wema nenda zako usingoje shukrani lakini usiombe pale ndugu au jamaa yako uliye msaidia anakataa kukusaidia wewe na uwezo anao [emoji4]
Think…. Unahitaji kujua source ya iyo feeling yako bila ivo you can try everything you’re being told na bado ukahisi the same sababu hujajua source ni nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.