Recent content by Mo ching's

  1. Mo ching's

    Natafuta jina la wimbo huu

    Shukrani kiongozi mmefanikisha hatimaye nimeupata [emoji1488]
  2. Mo ching's

    Natafuta jina la wimbo huu

    Asante sana mkuu nimeupatata shukrani mno
  3. Mo ching's

    Natafuta jina la wimbo huu

    Mkuu nimesearch YouTube na Google pia sijakuta jina kama hilo sjui labda litakua limekosewa ama vipi
  4. Mo ching's

    Natafuta jina la wimbo huu

    Wadau habarini za saa hii, kuna wimbo fulani nimekua nikiutafuta kwa muda mrefu YouTube bila mafanikio kutokana na kwamba sifahamu jina la wimbo huo ila naifahamu baadhi ya mashairi yake. Wimbo wenyewe ni wa Kenya. Baadhi ya mashairi; "........... watu mingi wanateswa sana, ni sababu ya...
  5. Mo ching's

    Paka Oscar alias Unsinkable Sam, aliyenusurika kifo mara tatu wakati wa vita vya Dunia

    Yani eti nipo hapa nasoma historia ya paka yani mimi na midevu yangu hii namsoma paka ok.
  6. Mo ching's

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Mida yetu wewe
  7. Mo ching's

    Utabiri: Samia Suluhu kuwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania

    Asee hawampi kule labda kwa goli la mkono na iwe kwa mbinde sana maana masheikh hawawezi wakaruhusu mwanamke atawale kule. Imbombo ngafu.
  8. Mo ching's

    Hii tabia ya kudharau simu za Tecno itakwisha lini?

    Tecno? Ile cm mtu ukiwa mweusi kamera yake inakutoa mweupe ka umemwagiwa tindikali usoni? Sijawahi kutumia hiyo kampuni na naomba Mungu aniepushilie mbali. Sent with Samsung Galaxy A10 [emoji1783]
  9. Mo ching's

    AIM Global, Qnet, Forever Living, One Coin, GNLD na wengine mbadili mbinu za utapeli, hii ya utajiri ndani ya siku 2 imepitwa na wakati

    Mkuu hawa jamaa wa AIM GLOBAL mimi nilitarajia katika kipindi hiki cha janga la covid-19 wangenunua hata ventilators mbili tu waziweke mloganzila utajiri wao upo kwenye maigizo ya kupiga picha na magari ya watu na kupost ili kutumika kama chambo kwa wengine ili wavutike na kununua bidhaa zao...
  10. Mo ching's

    Fahamu faida za Mwanamke mwenye msambwanda mkubwa wakati wa tendo

    Mi kwa upande wangu kazi kubwa ya hizo nyama za nyongeza ni ile pwah! pwah! pwah! Wakati wa kunyanduana...nawasilisha
  11. Mo ching's

    "Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

    Dah utajutra tena? Mi ndo maana Dar huwa napita njia tu nikielekea Zenji.
  12. Mo ching's

    Zijue faida za kupiga punyeto kwa afya yako

    Kusoma vitabu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom