Polisi walianza kwa kuiba madukani ,wameiba vijiji vya Jaribu na Njopeka ,sasa kwa polisi hawa tutegemee wawasake wauaji?
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Polisi wamewahi kuua MTU hadharani wakati wanaanza operesheni hii kwa njia ya fujo wizi na uporaji na ubakaji ,wameua kijiji cha Jaribu wakaiba vijiji vya Jaribu huko kibiti na Njopeka huko mkuranga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.