Kwa wadada, Hapo kwenye vigezo inategemea na umri wa Mwanamke.
Huwezi kuwa 30s, halafu ulete vigezo, how come!!!! Wewe yeyote anaekuja beba na umshukuru Mungu.
Mwanamke anatakiwa aolewe akiwa 17 akienda sana 23, ikitokea kachelewq saaaana 24.
Sasa wewe upo 30, hujaolewa, ni lazima tukuulize...