Recent content by Mnyenz

  1. Mnyenz

    UONGO WA KARNE: "Pesa Haiwezi Kununua Furaha" Neno la Kujifariji La Masikini na Kukaririwa na Wasomi

    Hiyo kama milioni 15 hivi. Hivi ukiwa na bunda kama hizo halafu ukajipangia kwamba kila siku unachomoa ten tu. Itachukua muda gani mpaka ziishe?
  2. Mnyenz

    Kwanini Tanzania inapokea watalii milioni 2 tu?

    Magufuli alikua anaijenga Tanzania moja nzuri sana ya kuja kuwa eneo la kutalii. Alianza na miundombinu kwanza akaanza sgr(imagine sgr imefika mwanza, watalii wangapi watatumia treni kuizunguka nchi)akanunua ndege. Hata ile ya kuweka mbuga chato, alijua plan zake na ndio maana akajenga na Airport
  3. Mnyenz

    TFF yatoa Notisi ya Siku 60 kwa Makampuni ya Betting kujieleza kwa kuweka Mechi ya Dabi (Yanga na Simba) kwenye mfumo bila idhini

    Kuwa na kampuni moya tu ya betting kunatoa mianya ya rushwa. Betting company wanaweza wakahonga wachezaji ili kupata matokeo yenye manufaa kwao kwa sababu wapo peke yao.
  4. Mnyenz

    Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Hata mwanaume, ukila weed ukipanda, hushuki(wafungwa wanachelewa kuvunja gereza)
  5. Mnyenz

    Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Elon musk havuti bange. Ila kuna siku alienda kwenye podcast ya mvuta bange mmoja maarufu. Alipofika aliambiwa, ukivuta bangi utakua na akili mara dufu ya hiyo uliyonayo. Elon akasema poa, leteni hiyo bangi, akaletewa akavuta mbele ya camera kisha akasema hakuna chochote tofauti amehisi...
  6. Mnyenz

    Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Kwani kupiga watu risasi ni kimbele ya sheria?
  7. Mnyenz

    Akamatwa kwa kujifanya bubu na kuchangiwa Milioni 1.8

    Muhesabu sadaka kaichelewa mpaka misa
  8. Mnyenz

    Kuleta beki tatu nyumbani ni muhimu, ila hugeuka sometimes na KUWA kuwa chanzo cha migogoro

    Maandiko yanasema, Mfanyakazi wa ndani ni mke wa pili. Sio mimi, nabii tito huyu hapa anabwabwaja. https://youtu.be/07RcoY8PM5s?is=9Z-6e0vJb6LGZB_s
  9. Mnyenz

    Dereva wa Tanzania kaa chonjo.. Kuanzia Aprili kiama kinakuja kama hujajisajili LATRA

    Kama leseni zilitoa mamlaka za serikali, iweje tena mfanye uhakiki? Kwa tafsiri nyepesi hamuaminiani, tra alikua anatoa leseni hovyo hovyo bila vigezo stahiki ndio maana mnataka kwenda kuhakiki. Kwani mtu anaweza kusahau kuendesha gari kusema kwamba aende shule tena ili aje kupewa cheti...
  10. Mnyenz

    MPYA Mwanga artificial (blue light) ndio chanzo kikuu cha vipara vyote duniani

    Vipi kwa sie tunaofanya kazi juani?
Back
Top Bottom