Magufuli alikua anaijenga Tanzania moja nzuri sana ya kuja kuwa eneo la kutalii.
Alianza na miundombinu kwanza akaanza sgr(imagine sgr imefika mwanza, watalii wangapi watatumia treni kuizunguka nchi)akanunua ndege.
Hata ile ya kuweka mbuga chato, alijua plan zake na ndio maana akajenga na Airport
Kuwa na kampuni moya tu ya betting kunatoa mianya ya rushwa.
Betting company wanaweza wakahonga wachezaji ili kupata matokeo yenye manufaa kwao kwa sababu wapo peke yao.
Elon musk havuti bange.
Ila kuna siku alienda kwenye podcast ya mvuta bange mmoja maarufu.
Alipofika aliambiwa, ukivuta bangi utakua na akili mara dufu ya hiyo uliyonayo.
Elon akasema poa, leteni hiyo bangi, akaletewa akavuta mbele ya camera kisha akasema hakuna chochote tofauti amehisi...
Kama leseni zilitoa mamlaka za serikali, iweje tena mfanye uhakiki?
Kwa tafsiri nyepesi hamuaminiani, tra alikua anatoa leseni hovyo hovyo bila vigezo stahiki ndio maana mnataka kwenda kuhakiki.
Kwani mtu anaweza kusahau kuendesha gari kusema kwamba aende shule tena ili aje kupewa cheti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.