Recent content by mnyamwe

  1. mnyamwe

    Intaneti imezidi kupanda Bei

    Mh napita tu Sasa hapa tunaweka mchanga wa hoja au tunaweka masiahara
  2. mnyamwe

    Kumbe anayehitaji kutibiwa na Serikali Tanzania nzima ni Profesa Jay tu na wengine wajitibie wenyewe?

    Jamaa alichokiandika ni sahihi kabisa sema cc wa tz ni wavivu wa kutafakari hivyo ni ngumu Sana kuweza kuelewa alichokiandika Jamaa sema wengi wanamihemuko mingi na bendela fuata upepo
  3. mnyamwe

    Anayefanya kazi Maktaba ya Muziki TBC 1 achunguzwe

    Kwani ulikua ujui mtu akishazeeka akiri inaludi utoto au uwezo wa kifkr kunapungua?????
  4. mnyamwe

    TANZIA Aliyekuwa Mtangazaji wa RFA, Juma Ahmed Baragaza afariki Dunia

    Unautaalam gani wa kuwatambua watu wanaotumia vidonge????
  5. mnyamwe

    Cristiano Ronaldo aeleza sababu ya kuachana na Irina Shayk

    Upo sahihi kristian lonado
  6. mnyamwe

    Mimi binafsi Sina furaha na maisha yangu very dissappointed

    du mkuu umeongea madini mazto sana ni poents juu ya poents mm niliwai kufanya hayo makosa yalinigalimu sana had leo naongea nmeamua kubaki pekeangu kwanza ili niitafte furaha ya kweli nikiwa mm kama mm
  7. mnyamwe

    Ndoto Gani Iliyokutatiza (Sio Lazima Iwe Inatisha) Uliwahi Kuipata?

    Mh mi jana nmeota kuna m2 kaja kaingia ndan kajfunika shuka ckumbuk lang gan kasmama pembeni ya ktanda akaanza kunpulza upepo mkali sanau unapuliza kama feni hv nmepga kelele kwa muda mlefu nilpokuja kush2ka du pumz ipo juu had naogopa hata kulala
Back
Top Bottom