Jamaa alichokiandika ni sahihi kabisa sema cc wa tz ni wavivu wa kutafakari hivyo ni ngumu Sana kuweza kuelewa alichokiandika Jamaa sema wengi wanamihemuko mingi na bendela fuata upepo
du mkuu umeongea madini mazto sana ni poents juu ya poents mm niliwai kufanya hayo makosa yalinigalimu sana had leo naongea nmeamua kubaki pekeangu kwanza ili niitafte furaha ya kweli nikiwa mm kama mm
Mh mi jana nmeota kuna m2 kaja kaingia ndan kajfunika shuka ckumbuk lang gan kasmama pembeni ya ktanda akaanza kunpulza upepo mkali sanau unapuliza kama feni hv nmepga kelele kwa muda mlefu nilpokuja kush2ka du pumz ipo juu had naogopa hata kulala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.