Recent content by Mnyalukolo mp

  1. M

    Uchaguzi wa Meya Halmashauri ya Mpwapwa- kituko chatokea

    Inaniuma sana Mpwapwa is my home place. Hakuna maendeleo ni wasomi ndo hivyo tumebaki mjini na mambo ndo yanaharibika.
  2. M

    Ajali mbaya Pandambili ya basi la Morobest linalofanya safari za Mpwapwa - Dar

    Naamini mliokuwa mna critize post ya habari hii mmeelewa. Mungu awape nguvu familia za marehemu wote. Amen
  3. M

    Ajali mbaya Pandambili ya basi la Morobest linalofanya safari za Mpwapwa - Dar

    Kuna ajali mbaya imetokea muda si mrefu,watu wengi wamepoteza maisha. mimi niko gari ya al saidy ya mbele. mlioko eneo la tukio
  4. M

    Shabiki wa Yanga afariki uwanjani

    R.I.P shabiki wa kweli.
  5. M

    Katiba Mpya: Askofu Kakobe ampelekea Rais Kikwete ujumbe wa wazi kutoka kwa Mungu

    Ni ujumbe mzito, Taifa linalomtegemea MUNGU siku zote hufanikiwa, bali lisilotegemea Mungu, huangamia au kupita katika kipindi/vipindi vigumu
  6. M

    Mgimwa alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa gani?

    R.I.P Dr. Mgimwa. Bado tulikuwa tunakuhitaji sana, lakini MUNGU amekupenda zaidi. Nawapa pole wana familia, ndugu jamaa na marafiki. Wana jamii forum wezangu. Msiba ukitokea take it as yours na i hope all of us we ae matured enough and educated.
  7. M

    Yanga yamtimua kocha wake Ernie Brandts

    Mimi kama mshabiki na mpenzi wa Yanga, nawaomba viongozi wa Yanga wamlete mrithi haraka na Kocha wetu wa sasa Brands apatiwe haki zake za msingi kwa wakati. YANGA MBELE DAIMA MWIKO
  8. M

    JK ateua Mkurugenzi Mtendaji TANESCO

    Hongera eng.Mramba.
  9. M

    Tanzia: Peter Mangula (mtoto wa Mangula) afariki dunia

    Poleni sana familia. R.I.P Peter
  10. M

    Shukrani za Jamal Emil Malinzi kwa wana JF

    Hongera sana, nakutakia utekelezaji mwema wa sera na ahadi zako
  11. M

    TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

    R.I.P. Dr. Mvungi. Inauma sana kwani Bado tulikuwa tunahitaji mchango wake katika kazi mbalimbali ndani ya Taifa la TZ na nje ya TZ.
  12. M

    Mulugo: Division Five haipo na sifuri ipo palepale

    Nchi hii haina mwenyewe.
  13. M

    Mhadhiri wa SUA na Wanae Waliofariki Kwa Ajali Waagwa SUA-MOROGORO.

    Mungu simama na wanafamilia wape faraja yako bwana
Back
Top Bottom