mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,031
kwa mtazamo wangu yanga jana wamekosa ushindi kizembe, tena aliyewakosesha ushindi ni kocha mwenyewe. We utampaje kiiza kupiga penati wakati kina cannavaro, okwi na kavumbagu wapo na walionyesha ufundi ktk upigaji wa penati zao kule misri.
Nilimshangaa sana kocha nilipoona ni kiiza anapiga ile penati as nilijua angempa mmojawapo wa hao niliowataja
Nilimshangaa sana kocha nilipoona ni kiiza anapiga ile penati as nilijua angempa mmojawapo wa hao niliowataja