Umeandika kishabiki sana bro.Pima ni Mwalimu wangu ni mtu mzuri na muungwana.
Sasa si tunaambiwa siku zote kuwa kama elimu ni gharama ama taabu jaribu na ujinga. Kwani huko ccm si ndio nilikoona clips za madiwani wao wengine wakishindwa kusoma hata viapo vyao? Wanawake kwa wanaume ila ukiangalia walivyovalia utadhani ni graduates.
Umeandika kishabiki sana bro.Pima ni Mwalimu wangu ni mtu mzuri na muungwana.
Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa leo wamefanya uchaguzi wa mwenyekiti wao kwa upande wa chama cha mapinduzi (CCM),wagombea walikuwa ni madiwani watatu.
1.Mh Dastan Malogo ambaye ni Medical Doctor LT.
2. Mh. Honorati Pima graduate from UDSM na ni mwalimu wa secondary mstaafu level ya Headmaster
3. Mh. Ng`wenzi diwani mstaafu ambaye alisusa udiwani na kufuata mwanamke ruaha mbuyuni Iringa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, alihudhulia kikao kimoja tu mwanamke akamnogea akaacha na udiwani, ila ana vicent kidogo na ving`ombe kama arobaini hivi ni darasa la nne
Uchaguzi huu alisimamia mkurugenzi kama kawaida ila thinktank wa wadiwani wa majimbo mawili alikuwa Mh. Simbachawene mbunge wa Kibakwe.
Matokeo:
1.Mh. Ngw`Enzi na utoro wake amepata kura 30
2. Mh. Dr Malogo kura 7 na U-doctor wake
3. Mh. Pima kura 2 na degree yake
Kesho ndiyo uchaguzi wa vyama vyote ambapo majimbo yote mawili hakuna diwani wa upinzani, ina maana mwenyekiti wa halmashauri ya Mpwapwa atakuwa ni darasa la nne
Kwa makamo nako ni vituko amachaguliwa Mh. George Fuime amepita bila kupingwa, ni mbena wa kijiji cha Wino, kata ya madaba Songea alitoroka shule kwao siku nyingi na aliacha shule akiwa darasa la tatu.
Kituko chenyewe:
Hiyo meza kuu ya halmashauri wote hawawezi kutumia karamu na notebook, wachilia mbali Laptop.
Yote yakifanyika Mbunge na waziri Simbachawene yupo. Mbunge wa Mpwapwa Mh. Lubeleje yeye alijitetea asihusishwe kwani sasa hivi macho yake hayaoni.
ni makosa tu ya kawaida hayoo.. Sas mbona wee mwenyewe umekosea au huoni? karamu badala ya kalamu au wee mnyarwanda? Nadahani hata wew haujamaliza shule achilia mbali kukosoa watu
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Utumishi na Utawala Bora, Selemani Jaffo amewatangazia kihama wakurugenzi wote nchini watakaoshindwa kuwasimamia wakuu wa idara katika Halmashauri zao.
Jaffo amesema wakurugenzi ambao watashindwa kuwasimamia wakuu wa idara na kujikuta wanafanya kazi zao bila ufanisi waandike barua ya kuomba kuondoka kazini wenyewe.
Naibu huyo alitoa kauli hiyo jana alipofanya ziara yake ya kikazi ya kwanza ya kushtukiza katika wilaya ya Bahi iliyopo mkoani Dodoma.
Mbali na hilo ametoa muda wa siku 27 kwa halmashauri zote nchini kuhakikisha zinatumia mfumo wa kielektroniki kwa ajili ya kukusanya mapato katika halmashauri husika.
Hiyo paragraph ya mwisho inalingana na viongozi wa halmashauri ya Mpwapwa?
Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa leo wamefanya uchaguzi wa mwenyekiti wao kwa upande wa chama cha mapinduzi (CCM),wagombea walikuwa ni madiwani watatu.
1.Mh Dastan Malogo ambaye ni Medical Doctor LT.
2. Mh. Honorati Pima graduate from UDSM na ni mwalimu wa secondary mstaafu level ya Headmaster
3. Mh. Ng`wenzi diwani mstaafu ambaye alisusa udiwani na kufuata mwanamke ruaha mbuyuni Iringa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, alihudhulia kikao kimoja tu mwanamke akamnogea akaacha na udiwani, ila ana vicent kidogo na ving`ombe kama arobaini hivi ni darasa la nne
Uchaguzi huu alisimamia mkurugenzi kama kawaida ila thinktank wa wadiwani wa majimbo mawili alikuwa Mh. Simbachawene mbunge wa Kibakwe.
Matokeo:
1.Mh. Ngw`Enzi na utoro wake amepata kura 30
2. Mh. Dr Malogo kura 7 na U-doctor wake
3. Mh. Pima kura 2 na degree yake
Kesho ndiyo uchaguzi wa vyama vyote ambapo majimbo yote mawili hakuna diwani wa upinzani, ina maana mwenyekiti wa halmashauri ya Mpwapwa atakuwa ni darasa la nne
Kwa makamo nako ni vituko amachaguliwa Mh. George Fuime amepita bila kupingwa, ni mbena wa kijiji cha Wino, kata ya madaba Songea alitoroka shule kwao siku nyingi na aliacha shule akiwa darasa la tatu.
Kituko chenyewe:
Hiyo meza kuu ya halmashauri wote hawawezi kutumia kalamu na notebook, wachilia mbali Laptop.
Yote yakifanyika Mbunge na waziri Simbachawene yupo. Mbunge wa Mpwapwa Mh. Lubeleje yeye alijitetea asihusishwe kwani sasa hivi macho yake hayaoni.