Habarini wakuu.
Kama kichwa cha thread kinavojieleza hapo juu. Mimi ni mwanaume. Umri wangu ni Miaka 23, Elimu yangu ni Diploma in Electrical Engineering. Kwa sasa nipo Dar Es Salaam, ila nipo tayari kufanya kazi popote nchini. Natafuta kazi tajwa hapo juu.
Msaada wenu wakuu, maana najua JF...
Habari zenu wanaJF, nina mdgo wangu hapa 12yrs old, tumbo lake ni kubwa , sio la kawaida kiukweli. Na sio kwamba yey n mnene unaweza sema ana kitambi hapana, ni mwembamba tu.
Msaada wandugu nimsadiaje km kuna mtu analifaham hili tatizo en solution yake anaweza niambia
..Maana najua kuna siku...
Habarini wakuu.
Ninatumia simu tajwa hapo juu ambayo niliinunua kwa kampuni moja ya simu nchini, sasa kwa sehemu niliyopo saizi hakuna huduma ya 3G kwa huo mtandao, lakini umekuja huu mtandao wa Halotel una huduma hiyo ya 3G, nataka nii'unlock nitumie Halotel lakin sehem yenyew nmekosa hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.