Recent content by Mnyakilambo7

  1. M

    Natafuta kazi Electrical Technician

    Asante mkuu, nimekupm tayari.
  2. M

    Natafuta kazi Electrical Technician

    Habarini wakuu. Kama kichwa cha thread kinavojieleza hapo juu. Mimi ni mwanaume. Umri wangu ni Miaka 23, Elimu yangu ni Diploma in Electrical Engineering. Kwa sasa nipo Dar Es Salaam, ila nipo tayari kufanya kazi popote nchini. Natafuta kazi tajwa hapo juu. Msaada wenu wakuu, maana najua JF...
  3. M

    Huu ndiyo utofauti wa Kiba na Diamond

    kingine Alikiba HAJUI kuandika mashairi yenye vina kama Diamond. ..nashauri atafute mtu wa kumuondikia coz kuandikiwa sio dhambi.
  4. M

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    832kj nimepangwa apo pia mkuu, naendelea kunywa maji mengi tu apa..
  5. M

    Rich Mavoko kwenda kusign WCB ni jambo la aibu

    thread ya kipuuuuuzi
  6. M

    Msaada: Tatizo la tumbo kubwa(Sio kitambi)

    Habari zenu wanaJF, nina mdgo wangu hapa 12yrs old, tumbo lake ni kubwa , sio la kawaida kiukweli. Na sio kwamba yey n mnene unaweza sema ana kitambi hapana, ni mwembamba tu. Msaada wandugu nimsadiaje km kuna mtu analifaham hili tatizo en solution yake anaweza niambia ..Maana najua kuna siku...
  7. M

    Kamwambia rafiki yake kuwa mimi nina kitambi eti ananichuna tu

    Duuuh! Akili za kuambiwa changanya na zako, then sikiliza moyo wako!
  8. M

    Msaada ku'unlock huawei y330

    Sawa mkuu, nmeipitia na nimeielewa hiyo thread, ntakutafuta unisaidie..
  9. M

    Msaada ku'unlock huawei y330

    Sawa dada, ngoja niwasubiri..
  10. M

    Msaada ku'unlock huawei y330

    Habarini wakuu. Ninatumia simu tajwa hapo juu ambayo niliinunua kwa kampuni moja ya simu nchini, sasa kwa sehemu niliyopo saizi hakuna huduma ya 3G kwa huo mtandao, lakini umekuja huu mtandao wa Halotel una huduma hiyo ya 3G, nataka nii'unlock nitumie Halotel lakin sehem yenyew nmekosa hata...
  11. M

    Hofu ya CHADEMA kupoteza sifa ya kuunda kambi rasmi bungeni baada ya uchaguzi mkuu Oct

    Hahahaaaaaaa ...sawa mkuu!....maana hata conclusion yake km cion hiv, cjajua au anarud kuendelea kuandika:D:D:D
  12. M

    Hofu ya CHADEMA kupoteza sifa ya kuunda kambi rasmi bungeni baada ya uchaguzi mkuu Oct

    Nimetfakar sana alichokuwa anataka kumaanisha ila bado cmuelewi.....labda nisaidie mkuu km ww umemuelewa!
Back
Top Bottom