Soma multimedia technology and animation, utasoma vitu vingi kukuongezea wigo wa ajira, apo uta utasoma Programming languages, Video production, Sound editing, animation, electronic news gathering, desktop publishing, website development
So apo utaweza fanya kazi na
1:media industry yoyote
Na...
Ni kweli kabisa uchaguzi ulikua mweupe, ila vipi hizo kura fake zmetokea wap!?
Ukinijibu hili ntakuunga mkono kabisa kua CCM inastahili hayo majimbo yote.
Sio wananchi walioamua, sema kama tume na serikali imeamua hivyo. Maana inakuaje kuna karatasi fake za kupigia kura, ikiwa karatasi za kupigia kura, znaandaliwa na tume, basi hizi fake kaziandaa nani? Na zikiwa zna watermark ya tume. Tumia busara yako fikilia mno tena mno
Hivi hawa wanaotabiri correct score, hua ni kweli au ndo kila mtu anatumiwa score zake af ambaye itatiki ndo inatumika kama ushahidi, au inakuaje apo wadau!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.