Bongo specifically tafuta watu wa software engineering na wenye ujuzi kwenye hizi sehemu androidstudio, unitygame engine, kama game lako ni LA android kama ni PC wanaweza kukupa maelekezo naweza kukusaidia kukupatia developer kama hutojaliWakuu nina Idea ya Game lakini sina ujuzi wa kutengeneza nianzie wapi?Je hapa bongo kuna watu wa IT wanaweza kunisaidia?
Njoo na bajet tafanye kaz, ila bujet inavary ktokanana na platform ya game either ni android or pc or VR supportWakuu nina Idea ya Game lakini sina ujuzi wa kutengeneza nianzie wapi?Je hapa bongo kuna watu wa IT wanaweza kunisaidia?