Nikweli mkuu...ila kimikoa kaenda kombo kabisa.kama dodom singida wanatahiri toka dhamani....hata hivyo asilimia kubwa ya watazania wanatahiriwa nimikoa michache tu ambayo hawatahiri.haswa makabila flaniflan..
Pole fisadi zamu yenu kulia sasa na sisi tucheke...yaani tuko hapa wote tazania lakini wengine wanaishi kama wako mbinguni,kwa ajili ya kuwanyonya wezao alafu unajifanya nchi haiendeshwi kwa sheria peleka ufisadi huko na usaa lazima mtumbuliwe tu..
Jamani mbona hamuelewi...likizo hazijafutwa ila wamesema wamelazimika kutokwenda likizo ili kufikia malengo ya kukusamya mapato...said hapo kuna shinda gani..wakimaliza malengo yao wataenda likizo..
Wewe usimwami....lakini mimi namwamini..peleka taarifa Zako za kizushi nyumbani kwako yaan watu wengine wapo duniani kwa ajili ya kuharibu tu...nyau weee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.