Ili kumuelewa prof.E kezilahabi inabidi ukomae kifasihi na mikondo ya fasihi ya kiafrika uelewe vema kazi kama "nagona "ndo inaelezea Rosa mistika ambacho kilifungiwa Miaka 1970s ndo maana kama huja iva kifasihi huambui kitu vivyo hivyo kwa mzingile
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kutongoza maanake ninn?na ulikubali nn?kwahiyo nisubiri ninin?nanikiombalini utakua muda muafaka?muda huo utakua muafaka kwa mujibu wanan?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.