Recent content by Mnongane

  1. Mnongane

    Hivi utadharau vipo watu wako milion 59 na zaidi unapeleka game kwa watu hawazidi milioni

    Tulieni.. zamu yetu sasa hivi tukimaliza tutawarudishia muendelee kutunyonya Ila nasi itakua si haba tumepata kidogo
  2. Mnongane

    Nina uhakika 90% ya wanaJF humu hawajui kuwa 90% ya utumwa duniani ulifanywa na waarabu lakini 80% hawajui kuwa 80%+ ya utumwa uliwezeshwa na machifu

    Na 90% hawajui kuwa wanunuzi wakubwa na watesaji wakubwa wa watumwa ( babu zetu) walikua ni wazungu
  3. Mnongane

    Zanzibar wanashindwa Kuvuta Maji kutoka Dar km 67 tu? Wanakazana kujenga Misikiti

    Zanzibar hatuna shida ya maji labda mseme mambo mengine lakini sio maji.
  4. Mnongane

    Gen Z wanapanga maandamano mapya ya Januari 29

    Hivi mnaposema Gen Z hawapoi wamepanga moja mbili tatu, huwa mnapata wapi taarifa zao? Nani kiongozi wao? Wapi uliwasikia? Mbona mnapenda kuwapaka matope hao mnaowaita GenZ ?
  5. Mnongane

    PostGE2025 Inawezekana kuwa ni visasi, maana kila idara wamewekana wao kutoka Zanzibar

    Ndugu, Zanzibar ni nchi na sio mkoa. Na ndio maana kuna Rais, Bunge lake (Baraza la wawakilishi) ina vikosi vyake vya ulinzi zaidi ya vitano na bendera yake.
  6. Mnongane

    Siwauzii woga, ila ni tahadhali

    Swadakta mkuu, tarehe 9 tukuone mbele utuongoze kukiendea kifo
  7. Mnongane

    Mke wangu simuelewi. Naombeni mawazo yenu

    Vipi kama na yeye Akija kuomba ushauri hapa wa kitaalam kuhusu mume wake kutomridhisha ingawa tayari ameshampa code zote?
  8. Mnongane

    Anayesema JWTZ zima linaunga mkono mauwaji na utekaji nakataa

    Sasa wewe Jeshi unalikataa tena na matusi juu, askari unataka kuwapelekea moto,hapo hapo unataka kuandamana. Unategemea Nani atakusaidia kikishawaka kama mnavyosema?
  9. Mnongane

    SOMA: Ujumbe Kutoka Zanzibar Kuelekea Dec. 9. 2025

    Sawa.. lakini bado huko hatujafika.
  10. Mnongane

    SOMA: Ujumbe Kutoka Zanzibar Kuelekea Dec. 9. 2025

    Mara zote kipindi kama hiki cha uchaguzi wageni hupungua, hapa wageni wanaanza tena kuanzia December, tusubiri hiyo December ifike ndio tutajua, na usichokijua kuwa nipo katika hii sector ya utalii kwa zaidi ya miaka 10 na sio hao beach boy wanaosubiri taarifa
  11. Mnongane

    SOMA: Ujumbe Kutoka Zanzibar Kuelekea Dec. 9. 2025

    Mkuu unaizungumzia Zanzibar ipi? Mbona huku Michamvi, Paje tupo nao kama kawaida? Na si ajabu hata were moaning madam hapo umekaa Receiption unatumia wifi ya bungalow unasubiri ukawafanyie massages..
  12. Mnongane

    Unapokumbatiana na mwanamke, mwanaume hakikisha unazingatia hili

    Mi nazungumzia kumbatio shehe... Na wewe hujatoa maelezo kuhusu hili kumbatio linamuhusu nani.
  13. Mnongane

    Unapokumbatiana na mwanamke, mwanaume hakikisha unazingatia hili

    Mkumbatie dada,mama au mtoto wako hivyo ndio tutakuelewa
  14. Mnongane

    PreGE2025 Mtoto wa Rais Samia, Mbunge wa viti maalum Wanu ana mchango 0 toka aingie bungeni 2020. Huyu kwanini bado anapokea mshahara?

    Hiyo huku Kizimkazi na Wilaya ya Kusini ana mchango mkubwa sana kwa kina mama na vijana.
Back
Top Bottom