Recent content by mnipashe

  1. M

    Suala kuhusu serikali ya Zanzibar baada ya uchaguzi!

    nashukuru kunirekebisha uko sahihi
  2. M

    Suala kuhusu serikali ya Zanzibar baada ya uchaguzi!

    hizo propaganda za mtoa hoja ni zakijinga tena akome aliyemwambia shein hataachia nchi ni nani? zanzibar ni ya shein?uchaguz ni kushinda nakushindwa atakaa pemben awe mpinzan kama hataki akae pemben ccm itafute mtu mwingine makamu wa rais wa kwanza
  3. M

    UDOM - College of Earth Science

    Naomba unifahamishe geoinfomatics wanashugulika na kitu gani zaidi yani wanajifunza nini?na mustakabali wake kwenye soko la ajira ukoje? Naomba unipe uelewe ili nipate picha yake kwa sehemu
  4. M

    Taswira ya TWAWEZA na UWEZO Kenya, Uganda na Tanzania inaenda kuingia doa na dosari kubwa

    umemaliza yote acha wahangaike hata wamkodi upya Dr mihogo amnadi mgombea wao wa ccm. Tunawapotezea tumewachoka watuache malofa tufanye upambavu wetu
  5. M

    Mgombea mwenza kurejea CUF

    kitu hicho si kweli yumkini mtoa mada ni kilaza hajui sheria ya uchaguzi,akiludi cuf itamsaidia nini yeye kama yeye?hawez kugombea hata udiwan maana muda wakuwasilisha majina tume umeshapita!pia si kweli aliyeandika uzi huu ni mtu wa ccm yan watafuta shari,Juma duni yuko bize na kampeni...
  6. M

    Maoni ya Wagombea Uraisi juu ya katiba mpya

    ukawa kwa maana ya lowasa mpeperusha bendera wataanza upya kwa kutumia rasimu ya pili wao limo hadi kwenye ilani na lowasa kisha sema atasimamia katiba ya wananchi sio katiba iliypendekezwa na ccm kupitia bunge maalum. Ndugu zangu watanzania hii ndio faida yakubadili mfumo lowassa alipokuwa ccm...
  7. M

    Yaliyojiri StarTv: Mahojiano Maalum ya Dr. Slaa na Star TV - Tarehe 4 Septemba, 2015

    Jamani eee wote mnajua ndoa zakanisa zinavyohitaji maadili na ukweli lakini huyu Dr.slaa alivunja miiko kabisa. Pia mnajua kwa wakristo ukimuacha mke huruhusiwi kuoa hadi huyo uliyemuacha afariki sasa mtalaka yuko hai ila Dr kapokonya mke wa mtu sio mwanamke aliyehuru mke wa mtu,kwa hiyo huyu...
  8. M

    Picha: Lowassa akiwa Kigoma

    kupiga saluti ni halali huyu mtu ana hadhi ya uwaziri mkuu mstaafu hivyo msisahau
  9. M

    Magufuli hakujiandaa kuwa rais, atatuangusha tu

    kwani mke wa kikwete kabla ya kuingia ikulu kielimu alikuwaje?
  10. M

    Lowasa aanza kuwachezea rafu CHADEMA, alazimisha atengewe nafasi 30 za Wabunge

    ni majungu kwelikweli hakuna nafasi zakupewa Esther bulaya ameshindana nakushinda kupitia viti maalum,James lembeli alishinda kwenye kura za maoni!sasa huko kupewa kunakujaje?acha uongo na uzushi mtuacheeeeeeee!!!!!!
  11. M

    Wema Sepetu abwagwa kwenye kura za maoni ubunge wa viti maalum Singida

    uongo haujengi kura za maoni kwa ccm ni august mosi nchi nzima we hayo matokeo umeyapata wapi?
  12. M

    Mbowe atajwa kuwa kiongozi bora wa upinzani Afrika

    angekuwa hana uchu wa madaraka asingefanya hila zakuondoa ukomo wa mihula katika katiba ya chama,ana tofauti gani na Paul Kagame?au museven?ni kosa kubwa kubadili katiba kwa ajili yakukidhi matakwa ya mtu!leo mbowe anaonekana mstaarabu nyie mnavyomsema siku akichaguliwa kiongozi harafu...
  13. M

    Je, ni sawa DSTV pekee kupewa uhalali kuonyesha CNN?

    kwa nchini kwetu nina uhakika na CNN ipo kwenye Dstv pekee sijui kwa nini ila karibu ving'amuz vingi haipo kabisa sina uhakiki TING
  14. M

    Maoni ya Muasisi wa Chadema Mzee Edwin Mtei Kuhusu UKAWA.

    hata hizo siku 7 hawatangaz hadi cuf wamalizane tarehe 25 labda 26
  15. M

    Maoni ya Muasisi wa Chadema Mzee Edwin Mtei Kuhusu UKAWA.

    la muhimu wanajamii muelewe UKAWA ikisambaratika tu kwa sababu yoyote ile nzuri au mbaya itakuwa ndio mwisho wa upinzani.Toka bunge maalum la katiba wameuaminisha umma wao ni watetezi wa wanyonge sasa ikitokea wamesambaratika watakuwa hawana hoja wala uhalali kuja kwa watanzania kuomba kura zao...
Back
Top Bottom