Ngida1
JF-Expert Member
- Aug 25, 2009
- 586
- 206
- Thread starter
- #21
Thank you Chige. Wewe peke yako ndio umenifahamu na umenisaidia. Serikali ya CUF Visiwani ndio ndoto yangu for decades now, lakini hapa I was just thinking aloud!Inaonesha wengi wetu hapa hatuijui siasa ya Visiwani. Nitasomesha hapa lakini sio leo. Inasikitisha kuwa tupo pamoja sasa zaidi ya miaka 50 na bado wengine hawaijui siasa ya Zanzibar!