Kiswahili ni zao lililotokana na lugha hizi za kibantu , ambazo zmechangia kwa kias kikubwa misamiat katka lugha yetu lugha ya kiarabu nayo kwa asilimia zake imechangia. Kiswahili kinakua kwa kasi ukuaj wa lugha huenda sanjar na uongezwaj wa misamiat . Leo ningependa kuongeza msamiat mmoja...
Wadau wenye ujuzi wa kutengeneza packaging material naomba msaada wamawasiano, hatakama unafahamu wadau wanao weza Ku Fanya kaz iyo pia, itakuwa msaada mkubwa kwangu
Nitakuwa nmekosa fadhira kama ntaacha kutoa shukrani zangu za dhati kwa wana Jf,Mara ya kwanza niltoa post yenye kichwa packaging and labelling nikiomba msaada kwa watu wenye ujuz na mambo hayo , na Shukuru mungu respond ya wadau haikuwa mbaya , nilpata msaada kwa MTU wa nguvu bwana Alpha...
Kwa wale wenye ujuz Wa packaging and labelling, naomba tuwasiliane,pia kama unafahamu sehemu nitakayo pata msaada huo,anpatie mawasiliano namba yangu ni;0755302433
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.