Ndugu zangu nawatangazia kuwa kuna upotevu wa kitambulisho cha kazi na kadi za bank Canada na Tanzania. Vimepotea katika jiji la Dar. Vilikuwa kwenye pochi moja. Vyote vina jina MAKARIUS PETER ITAMBU.
ZAWADI NONO ITATOLEWA KWA YEYOTE ALIYEVIONA NA KUVIREJESHA.
Wasiliana nami kwa namba...
Kunywa maji ya moto au uvuguvugu glass 3 asubuhi, 4 mchana na 3 ucku. Kula mchemsho wa ndizi asubuhi na mchana kula wanga kidogo na ucku kula mchemsho wa ndizi. Ndizi ziwe mbili mbili kwa kila mchemsho na changanya na mbogamboga au carot na tia limao. Mimi nimetumia hiyo njia nilikuwa na kg 110...
Mamla ya Maji safi na Maji taka Chamwino Ikulu yaani CHUWASA imekuwa pasua kichwa kwa wakazi wa Chamwino Ikulu. Mamlaka imekuwa ikisuasua tangu mwaka 2012. Kwa sasa ugawaji wa maji umekwisha na wakazi wa Chamwino Ikulu wamekuwa wakichangia maji na fisi, ng'ombe, punda na wanyama wengine kwa...
Kitima ninavomfahamu mimi ni Padre wa kanisa Katoliki aliyeapa kuachana na mambo yote ya ulimwengu na kuongoza waumini wa kanisa hilo kuelekea mbinguni. Why ajihusishe na siasa za ulimwengu huu? Asubirie waumini waende wakatubu dhambi zao kwake.
You stupid Jasusi. Who is that Ighondu you are writing about? I do not know that person. Give me his contacts. I want to tell him to do you hardly Jasusi.
Are you poor thinkers of CHADEMA still in the allegory of the cave? Not all who post here are CCM members. I am neither a CCM nor CHADEMA member. STUPID POLITICAL APPROACH.
Look at you poor politicians. Instead of making arguments you are attacking the grammar. You are very sorry MICHADEMA PUMBAFU. Be critical thinkers and not rotten people. You are ever stinking like toilets.
Whether you crazy members of CHADEMA accept or not, the truth will always remain in your dead intellects. CHADEMA'S MPs are not worthy to be representatives. They are robbers, pretenders, and Gangsters. Should all be in Arusha? Shame on them and you
CHADEMA's MPs is out of Parliament for more than a week now. I personally see them as immatured in Politics. They are obliged to repressent us in the House but we missed our repressentatives. They have lost their values as MPs.
TUJADILI RASIMU YA KATIBA GUYS. This is the only moment of thinking and discussing critically and logically about our Constitution draft rather than being in the depth illussion thought of Constituences.
Walimu wamekata tamaa sana. Ndo maana wanafundisha bila kukazia maarifa. Siku hizi walimu wanatoa lecture hata shule za msingi badala ya kufundisho. Kuna dalili kibao za kukata tamaa kwa walimu. WALIMU WAMEACHA UTUMISHI NA KAZI ILA WAMEBAKI NA AJIRA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.