Kamwombe Ighondu. He will take care of you, mooothafooookr
what????????????? is this Jasusi??? Holy cow!!!! at last you decided to show your true color!! you all look a like!!
Last edited by a moderator:
Kamwombe Ighondu. He will take care of you, mooothafooookr
kwani jirani sio mtu?Mke wa mtu sumu... mke wa jirani sumu
This English is horrible! A grade 3 kid can write better English than this. Are you preparing yourself for an interview? I assure you with this kind of English you will not make it. Too bad!
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
kama mimi ninavyoyachukia maccm na mwigulu nchemba, muuaji wa Arusha!nayachukia kweli machadema. Yakifa ntayatupa malagarasi yaliwe na mamba
Uzalendo ni buku saba. Poor Tanzania!!! Your own people have betrayed you
chadema's mps is out of parliament for more than a week now. I personally see them as immatured in politics. They are obliged to repressent us in the house but we missed our repressentatives. They have lost their values as mps.
Wana-JF;
Suala la wabunge wa CHADEMA kuendekeza chama chao kuliko utaifa (bungeni) kwa sasa limedhihiri.
Wabunge wa CHADEMA wamekuwa wakikosa vipindi vingi vya bunge, tena kwa ujumla wao, huku wakizijua athari zitokanazo na mahudhurio mabovu.
Wamekuwa wakifanya 'chokochoko' makusudi kabisa, ili wamlazimishe spika kutumia kanuni awatoe, ili waende majukwaani na kukitumikia chama chao.
Tukio la Arusha nalo limefanywa kisiasa, kwani wabunge wote wa CHADEMA wamepanga kutohudhuria bungeni, ili wapate fursa za kukaa majukwaani na kukitumikia chama.
Wito wangu kwa CHADEMA, ifike wakati sasa taifa mlipe kipaumbele kuliko chama chenu, bunge la bajeti ni bora zaidi kuliko mnayo angaika nayo huko Arusha.
what????????????? is this Jasusi??? Holy cow!!!! at last you decided to show your true color!! you all look a like!!
Wana-JF;
Suala la wabunge wa CHADEMA kuendekeza chama chao kuliko utaifa (bungeni) kwa sasa limedhihiri.
Wabunge wa CHADEMA wamekuwa wakikosa vipindi vingi vya bunge, tena kwa ujumla wao, huku wakizijua athari zitokanazo na mahudhurio mabovu.
Wamekuwa wakifanya 'chokochoko' makusudi kabisa, ili wamlazimishe spika kutumia kanuni awatoe, ili waende majukwaani na kukitumikia chama chao.
Tukio la Arusha nalo limefanywa kisiasa, kwani wabunge wote wa CHADEMA wamepanga kutohudhuria bungeni, ili wapate fursa za kukaa majukwaani na kukitumikia chama.
Wito wangu kwa CHADEMA, ifike wakati sasa taifa mlipe kipaumbele kuliko chama chenu, bunge la bajeti ni bora zaidi kuliko mnayo angaika nayo huko Arusha.
Nimependa namna ulivyorespond. Kwa kiasi fulani nakubaliana na wewe kwamba wabunge wa CDM kutohudhuria vikao vya bunge kuna athari yake! Lakini yafaa nini kuhudhuria vikao ambavyo mwisho wa yote jibu litakuwa ndiyoooooooooo whether kilichokubaliwa kwa mtindo huo hakina manufaa kwa makabwela? Jibu la ndiyooo mara nyingi hutoka kwa wabunge wa CCM ambao ni robo tatu kwa idadi bungeni. Hii maana yake ni kwamba wabunge wa CCM wanakitumikia chama na serikali yao hadi bungeni. Ni kwa mantiki hiyo huenda wabunge wa CDM wameamua kuendelea na majukumu mengine huku vikao vya bunge vikiendelea.