Majimbo ambayo CCM hawana chao 2015

Majimbo ambayo CCM hawana chao 2015

TUJADILI RASIMU YA KATIBA GUYS. This is the only moment of thinking and discussing critically and logically about our Constitution draft rather than being in the depth illussion thought of Constituences.
 
Maoni yangu ni kuwa marais watatu watatupasua masikio kqa ving'ora jamani bora awe mmoja tu maana watakuwa wanapishana kutwa airport kwenda ulaya kuhemea
 
Kote ni mipango na sera hata kwa mwenyekit wangu mbowe asipokuja na sera anawekwa kando, ndio demokrasia, ila kwa ccm hali ni mbaya kwan wanawaza kuimaliza cdm wanasahau shida za wananchi,na kwa hali hiyo watarajie kupoteza hata la sita,membe,zambi, malole wa dodoma mjin n.k pia kwa upinzan lazima tujipange kwan kwa tundu,lema na msigwa na wenje tayari serikal imeanza mashambuliz kwa kuwadhoofisha kwa kutumia jeshi na tayar mabilion yametengwa, inafahamika. Ccm watapoteza kwa matendo yao.
 
Mnawajuwa wagombea watakao gombea mwaka 2015? Au mna jazba tuu, na mafanikio ktk majimbo hayo mmeyafanyia tathimni? Muwe mnafikiri kabla ya kutupia uzi humu
 
Mnawajuwa wagombea watakao gombea mwaka 2015? Au mna jazba tuu, na mafanikio ktk majimbo hayo mmeyafanyia tathimni? Muwe mnafikiri kabla ya kutupia uzi humu

to create new thing is difficult to than to develop the old one.
Kama watasimamisha wagombea wapya ndio itakuwa complete failure.
 
Haya ni baadhi ya majimbo ambayo ccm wataya kabidhi upinzani
Haya ni baadhi ya majimbo ambayo ccm wataya kabidhi upinzani
1.jimbo la Aeshi.
2.jimbo la wassira
3.jimbo la mkulo
4.Jimbo la magufuli
5.Jimbo la kafumu
6.jimbo la mkuchika
7.jimbo la makinda
8.jimbo la Lukuvi
9.jimbo la Ndugayi
10.jimbo la Nkamia
11.Arumeru magharibi
12.Simanjiro
13. Babati vijijini kwa Jitu
14. Igunga
 
Kwanini mmeondoa ile thred iliyokuwa inasema majimbo ya chadema yatakayopotea 2015?
 
Haya ni baadhi ya majimbo ambayo ccm wataya kabidhi upinzani
1.jimbo la Aeshi.
2.jimbo la wassira
3.jimbo la mkulo
4.Jimbo la magufuli
5.Jimbo la kafumu
6.jimbo la mkuchika
7.jimbo la makinda
8.jimbo la Lukuvi
9.jimbo la Ndugayi
10.jimbo la Nkamia
mengine unaweza kuongeza.................!

jimbo la shibuda, jimbo la msigwa, jimbo la halima mdee, jimbo la lema, jimbo dr mbasa, jimbo la selasini, jimbo la kiwia na jimbo la sugu.
 
Siasa ndio mfumo mzima wa maisha ya kila siku ni lazima nchi yetu inapolelekwa na MAGAMBA ni lazima tutafakari na tuchukue hatua haraka sana kabla nchi haijachacha zaidi
 
Back
Top Bottom