Kunaitajika Elimu Kwa vijana wetu na wananchi Kwa ujumla. kuwa wasijaribu kulisogelea gari La mafuta lililopata ajali hasa gari iliyobeba mafuta aina ya patrol yale yanalipuka kama bomu yakipata moto. ni Vema wawe wanafanya uchunguzi kabla yakulisogelea gari.na kunauwezekano hao wenye bodaboda...
ishu sio kuunga mkono ubakaji .angalia na upande Wa Pili Wa umri Wa huyo kijana.pili huyo binti familia yake inaonyesha haina malezi mazuri Mtoto yuko chini ya miaka 18 lkn anamiliki simu na anawatumia msg wazazi wake kuwa yupo sehemu salama
Hapo unahitaji kuumiza kichwa kama ulivyoumiza kipindi Mama Anaumwa.Huyo Mzee wako mchukulie kama ni mgonjwa. tafuta dawa yakumponya na sio kumlaumu.Rudi tena Kwa yule mtaalamu wako Wa Tanga lazima kuna msaada utaupata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.