Recent content by Mmea Jr

  1. Mmea Jr

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nashukuru kwa kunitia Moyo lakini Hebu angalia mwenyewe hapo juu Umesema Kuna watu wamepambanana Hadi miaka 7 ndiyo wakaja kupata kazi .. ni wazi hata wewe umeona jinsi gani miaka saba ilivyomingi katika haya mambo ya kutafuta kazi .. Lakin kwa upande wangu Mimi huu ni mwaka wa 10 .. nadhani...
  2. Mmea Jr

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kweli niliwaza hivi .. lakini swali jingine likaja Yani sijapata kwenye oral interview ya kutafuta watu 800 nafasi za ualimu afu nije nijipe matumaini kwamba nitapata kwenye written interview ya Examination officer iliyoita watu zaidi ya elfu Moja ili kupata watu wawili (2) ?? Ukweli kabisa not...
  3. Mmea Jr

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Daa !! Aisee nimekata tamaa kabisaa Hebu fikiria ,, nilihudhuria oral interview iliyoitaji watu 800 mwaka Jana na placement zilipoanza kutoka mwaka huu mwanzoni utumishi wakanipiga chini hiyo .. Lkn mwaka Jana huo huo Kuna nafasi niliomba pia ambayo waliitajika watu 2 .. Sasa Jana...
  4. Mmea Jr

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nsombeni za odds za betpawa nimepata kijihela Fulani hivi nataka nizingushie
  5. Mmea Jr

    KERO Ajira mpya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi hatujalipwa pesa ya kujikimu

    Lakini mwisho wa mwezi mishahara zi mnapokea ?? Kama ni pesa ya kujikimu mtaliowa tu huko mbeleni
  6. Mmea Jr

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Aisee nimefanikiwa nashukuru sana
  7. Mmea Jr

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu msaada tafadhari nataka ni withdraw pesa melbet lakin wananiambia natakiwa ni activate number kwenye Account Tatizo hawanitumii Activation code nimejaribu mara 3 na Sasa wananiambia activation requests have exceeded ni try Tena later nifanyaje have nichomoe mpunga huu
  8. Mmea Jr

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na sisi wa fansport usitusahau
  9. Mmea Jr

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi mpaka Sasa nani mkali wa kutoa code za uwakika kwenye hii thread mpaka Sasa ?
  10. Mmea Jr

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wanajikutaga wanasimamia Sheria lkn huko huko kwenye Sheria ukiwabama hakuna majibu ya maana wanayotoa Hapo watakwambia Sheria za utumishi zinasema chini ya marks 50 umefeli Aya sawa turudi Tena kwenye Sheria za utumishi Mbona zinasema mchakato inabidi uwe wa ukweli na uwazi Sasa kama ni...
  11. Mmea Jr

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hawa nao wanazingua sana ,, hata mkitoa nafasi nyingine si watakuja hao hao .. Kwa kweli huku ni kupotezeana muda
  12. Mmea Jr

    Aggrey TZ anapitia magumu sana na anajutia aliyoyafanya huko nyuma

    Mbona hii sura siyo ngeni kabisa machoni mwangu ,, sijui nishawahi kumuona wapi huyu mtu ?? Huyu jamaa katika maisha yake ya kielimu. Kwa anayemfahamu kashawahi kusoma temeke ??
  13. Mmea Jr

    Mbwembwe nyingi mitandaoni, lakini makazi ya Baba Mkoani Iringa pa kawaida Sana

    Mzee Ngajilo ( sisi kwa sisi ) . Siyo kama hakujenga nyumba pale samora kajenga nyumba kubwa tu ambayo upande wa juu n guest house ambayo inaitwa sisi kwa sisi na upande wa chini ni nyumba ambayo alikuwa anaishi yeye ... Na hii guest ya sisi kwa sisi ni miongoni mwa guest zilizokuwa zikifanya...
  14. Mmea Jr

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi inawezekana mtu akapata placement ( barua ya kazi ) bila utumishi kutoa PDF yoyote ?? Yani unaamka tu unakuta barua ya kazi lakini hakuna pdf yoyote iliyotolewa na utumishi kwenye website Yao ??
Back
Top Bottom