Daa !! kama unanisema Mimi vile ,, ila okay ,, ipo hivi kwa upande wangu nilipoona biashara imechangamka sana ,, niliona siyo mbaya nikaanza hata kajiujenzi taratibu maana huwezi jua ya mbeleni .. nikajisema moyoni bora hata nianzishe pagala ili kesho hata mambo yakienda mlama basi nitakuwa...