Recent content by Mmea Jr

  1. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kilio cha Vijana kwa Utumishi: Mfumo wa 'Ajira Portal' Umerahisisha Kazi au Umetuongezea Msongo wa Mawazo?

    Mfumo bado unachangamoto nyingi sana ukiachilia mbali swala la kuchelewa sana kuita watu kwenye sahili bado Kuna swala la kuchelewa pia kutoa placement Lakin pia bado Kuna swala la kuwaaacha wasahiliwa gizani juu ya matokeo Yao ya oral interview lakini Tena Kuna ishu ya database ambayo pia...
  2. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Ndoto unazoota huenda ni onyo na tahadhari juu ya kinachokuja kukutokea kwenye maisha yako yajayo usizipuuze

    Daaa !!! Ni kweli kabisa ..Toka nilipomaliza chuo ,, nikawa nashangaa naota bado nipo shule ya msingi ,, mara naota nipo secondary nafanya mitiani Siku Moja sito sahau niliota nipo form two ,, basi tulikuwa tunafanya mitiani Fulani ya necta siku hiyo tulikuwa na mitiani miwili mmoja Asubuhi na...
  3. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wa Tanzania ni rahisi sana kuamini utapeli wa forex trading?

    Forex ni betting Kuna yule governor wa B.O.T alishalielezea hili .. ila tofauti ya hizi biashara mbili ni kuwa Moja unaona kabisa pesa inavyopotea ( betting ) ila nyingine unaambiwa tu pesa imeshapotea ( forex )
  4. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Yes kaka upo sahihi Huenda afisa maabara aliwaambia kabisa wakina " mputo " na "Tambali " mkisha maliza kazi nileteeni kichwa chake nikione.
  5. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nashukuru kwa kunitia Moyo lakini Hebu angalia mwenyewe hapo juu Umesema Kuna watu wamepambanana Hadi miaka 7 ndiyo wakaja kupata kazi .. ni wazi hata wewe umeona jinsi gani miaka saba ilivyomingi katika haya mambo ya kutafuta kazi .. Lakin kwa upande wangu Mimi huu ni mwaka wa 10 .. nadhani...
  6. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Zaidi ya buku
  7. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kweli niliwaza hivi .. lakini swali jingine likaja Yani sijapata kwenye oral interview ya kutafuta watu 800 nafasi za ualimu afu nije nijipe matumaini kwamba nitapata kwenye written interview ya Examination officer iliyoita watu zaidi ya elfu Moja ili kupata watu wawili (2) ?? Ukweli kabisa not...
  8. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Daa !! Aisee nimekata tamaa kabisaa Hebu fikiria ,, nilihudhuria oral interview iliyoitaji watu 800 mwaka Jana na placement zilipoanza kutoka mwaka huu mwanzoni utumishi wakanipiga chini hiyo .. Lkn mwaka Jana huo huo Kuna nafasi niliomba pia ambayo waliitajika watu 2 .. Sasa Jana...
  9. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nsombeni za odds za betpawa nimepata kijihela Fulani hivi nataka nizingushie
  10. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira mpya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi hatujalipwa pesa ya kujikimu

    Lakini mwisho wa mwezi mishahara zi mnapokea ?? Kama ni pesa ya kujikimu mtaliowa tu huko mbeleni
  11. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Aisee nimefanikiwa nashukuru sana
  12. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu msaada tafadhari nataka ni withdraw pesa melbet lakin wananiambia natakiwa ni activate number kwenye Account Tatizo hawanitumii Activation code nimejaribu mara 3 na Sasa wananiambia activation requests have exceeded ni try Tena later nifanyaje have nichomoe mpunga huu
  13. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na sisi wa fansport usitusahau
  14. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi mpaka Sasa nani mkali wa kutoa code za uwakika kwenye hii thread mpaka Sasa ?
  15. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wanajikutaga wanasimamia Sheria lkn huko huko kwenye Sheria ukiwabama hakuna majibu ya maana wanayotoa Hapo watakwambia Sheria za utumishi zinasema chini ya marks 50 umefeli Aya sawa turudi Tena kwenye Sheria za utumishi Mbona zinasema mchakato inabidi uwe wa ukweli na uwazi Sasa kama ni...
Back
Top Bottom