Recent content by Mmea Jr

  1. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    Kila mtu achagua hasara anayoiweza .. kama unaona betting inawatia hasara vijana Vipi na kijana huyu ambaye katumia miaka zaidi ya 13 kusoma ,, then anamaliza anakaa mtaani zaidi ya miaka 10 serikali haitaki kumpa ajira .. je hasara iliyoipata huyu kijana kwenye Elimu unaweza ilinganisha na...
  2. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali okoeni watumishi kwenye mikopo kupitia ESS, wengi hawana uelewa wa hii mikopo. Riba mpaka 40%

    Kwa miaka 10 Mimi naona hizo benk zipo sawa
  3. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu wa Economics na changamoto ya ajira kufundisha Business Studies

    Serikali haitaki kutumia gharama sababu inajua fika hawa ni non teachers hivyo malipo hayawezi kuwa sawa na waajiliwa wenye fani ya uwalimu .. hivyo inachokifanya serikali ni kutumia cheap labor ( non - teachers ) kufundisha Hilo somo Ndiyo maana utaona walimu wengi waliojiliwa kwenda...
  4. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Mafuta ya alizeti pure

    Mkuu tunaweza Fanya jambo huku nilipo Lita Moja ni 4500 ,, dumu la Lita 20 ambalo ni kilo 20 ndani Lina Lita 21 ni sh 90,000. Tufanye usafili kwa Kila dumu Moja ni sh 3000 , gharama za miamala tufanye 3000 plus gharama ya dumu sh 5000 . Hivyo kwa dumu Moja mpaka likakugikia dar es salaam...
  5. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Biashara ambazo huwezi toboa kamwe!

    Daa !! kama unanisema Mimi vile ,, ila okay ,, ipo hivi kwa upande wangu nilipoona biashara imechangamka sana ,, niliona siyo mbaya nikaanza hata kajiujenzi taratibu maana huwezi jua ya mbeleni .. nikajisema moyoni bora hata nianzishe pagala ili kesho hata mambo yakienda mlama basi nitakuwa...
  6. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya ndoa kua chungu baada ya miaka kadhaa ya kuishi pamoja

    Tatizo linakuja ili ujue nyota Yako inabidi ujue tarehe na mwezi Sasa wanawake wengi wa Tz Wana hii tatizo Wengi wanapenda kubadilisha miezi na miaka Yao ya kuzaliwa .. Sasa ukitumia kigezo cha unajimu ambacho kimeegemea mwezi na mwaka wa kuzaliwa ili kujua nyota ya mwenzio wako .. je unaweza...
  7. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kilio cha Vijana kwa Utumishi: Mfumo wa 'Ajira Portal' Umerahisisha Kazi au Umetuongezea Msongo wa Mawazo?

    Mfumo bado unachangamoto nyingi sana ukiachilia mbali swala la kuchelewa sana kuita watu kwenye sahili bado Kuna swala la kuchelewa pia kutoa placement Lakin pia bado Kuna swala la kuwaaacha wasahiliwa gizani juu ya matokeo Yao ya oral interview lakini Tena Kuna ishu ya database ambayo pia...
  8. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Ndoto unazoota huenda ni onyo na tahadhari juu ya kinachokuja kukutokea kwenye maisha yako yajayo usizipuuze

    Daaa !!! Ni kweli kabisa ..Toka nilipomaliza chuo ,, nikawa nashangaa naota bado nipo shule ya msingi ,, mara naota nipo secondary nafanya mitiani Siku Moja sito sahau niliota nipo form two ,, basi tulikuwa tunafanya mitiani Fulani ya necta siku hiyo tulikuwa na mitiani miwili mmoja Asubuhi na...
  9. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wa Tanzania ni rahisi sana kuamini utapeli wa forex trading?

    Forex ni betting Kuna yule governor wa B.O.T alishalielezea hili .. ila tofauti ya hizi biashara mbili ni kuwa Moja unaona kabisa pesa inavyopotea ( betting ) ila nyingine unaambiwa tu pesa imeshapotea ( forex )
  10. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Yes kaka upo sahihi Huenda afisa maabara aliwaambia kabisa wakina " mputo " na "Tambali " mkisha maliza kazi nileteeni kichwa chake nikione.
  11. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Nashukuru kwa kunitia Moyo lakini Hebu angalia mwenyewe hapo juu Umesema Kuna watu wamepambanana Hadi miaka 7 ndiyo wakaja kupata kazi .. ni wazi hata wewe umeona jinsi gani miaka saba ilivyomingi katika haya mambo ya kutafuta kazi .. Lakin kwa upande wangu Mimi huu ni mwaka wa 10 .. nadhani...
  12. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Zaidi ya buku
  13. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kweli niliwaza hivi .. lakini swali jingine likaja Yani sijapata kwenye oral interview ya kutafuta watu 800 nafasi za ualimu afu nije nijipe matumaini kwamba nitapata kwenye written interview ya Examination officer iliyoita watu zaidi ya elfu Moja ili kupata watu wawili (2) ?? Ukweli kabisa not...
  14. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Daa !! Aisee nimekata tamaa kabisaa Hebu fikiria ,, nilihudhuria oral interview iliyoitaji watu 800 mwaka Jana na placement zilipoanza kutoka mwaka huu mwanzoni utumishi wakanipiga chini hiyo .. Lkn mwaka Jana huo huo Kuna nafasi niliomba pia ambayo waliitajika watu 2 .. Sasa Jana...
  15. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nsombeni za odds za betpawa nimepata kijihela Fulani hivi nataka nizingushie
Back
Top Bottom