Nashukuru kwa kunitia Moyo lakini
Hebu angalia mwenyewe hapo juu
Umesema Kuna watu wamepambanana Hadi miaka 7 ndiyo wakaja kupata kazi .. ni wazi hata wewe umeona jinsi gani miaka saba ilivyomingi katika haya mambo ya kutafuta kazi ..
Lakin kwa upande wangu Mimi huu ni mwaka wa 10 .. nadhani...
Kweli niliwaza hivi .. lakini swali jingine likaja Yani sijapata kwenye oral interview ya kutafuta watu 800 nafasi za ualimu afu nije nijipe matumaini kwamba nitapata kwenye written interview ya Examination officer iliyoita watu zaidi ya elfu Moja ili kupata watu wawili (2) ?? Ukweli kabisa not...
Daa !! Aisee nimekata tamaa kabisaa
Hebu fikiria ,, nilihudhuria oral interview iliyoitaji watu 800 mwaka Jana na placement zilipoanza kutoka mwaka huu mwanzoni utumishi wakanipiga chini hiyo ..
Lkn mwaka Jana huo huo Kuna nafasi niliomba pia ambayo waliitajika watu 2 .. Sasa Jana...
Wakuu msaada tafadhari nataka ni withdraw pesa melbet lakin wananiambia natakiwa ni activate number kwenye Account
Tatizo hawanitumii Activation code nimejaribu mara 3 na Sasa wananiambia activation requests have exceeded ni try Tena later nifanyaje have nichomoe mpunga huu
Wanajikutaga wanasimamia Sheria lkn huko huko kwenye Sheria ukiwabama hakuna majibu ya maana wanayotoa
Hapo watakwambia Sheria za utumishi zinasema chini ya marks 50 umefeli Aya sawa turudi Tena kwenye Sheria za utumishi
Mbona zinasema mchakato inabidi uwe wa ukweli na uwazi Sasa kama ni...
Mbona hii sura siyo ngeni kabisa machoni mwangu ,, sijui nishawahi kumuona wapi huyu mtu ??
Huyu jamaa katika maisha yake ya kielimu. Kwa anayemfahamu kashawahi kusoma temeke ??
Mzee Ngajilo ( sisi kwa sisi ) . Siyo kama hakujenga nyumba pale samora kajenga nyumba kubwa tu ambayo upande wa juu n guest house ambayo inaitwa sisi kwa sisi na upande wa chini ni nyumba ambayo alikuwa anaishi yeye ...
Na hii guest ya sisi kwa sisi ni miongoni mwa guest zilizokuwa zikifanya...
Hivi inawezekana mtu akapata placement ( barua ya kazi ) bila utumishi kutoa PDF yoyote ??
Yani unaamka tu unakuta barua ya kazi lakini hakuna pdf yoyote iliyotolewa na utumishi kwenye website Yao ??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.