Recent content by Mmatengo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ufisadi wa Ngono Chuo cha Ufundi Arusha

    Arusha kuna rahaaaa. Ndo maana watu wengi wa Acity wanapenda starehe kuliko kazi, hiyo sishangai, hata baada ya tamko la Rais kupiga marufuku ya unywaji wa pombe mchana wanalazimika kujifungia kwenye mabaa kwahy sishangai kuona rushwa ya ngono kwa watu wa arusha
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kiongozi wa upinzani bungeni analipwa kiasi gani?

    Miaka 20+ amedumu kwenye uenyekiti wa chama
  3. M

    JamiiForums Tanzania Madiwani Shinyanga wabariki mradi wa mashoga na machangudoa

    Kama watapewa leseni za kufanya hiyo biashara na kuingiza mapato serikalini manispaa itapaa kimapato na kuzisldisha ile asilimia themanini ya Majaliwa.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mwanahabari Salma Said akutana na wanahabari, aeleza kilichotokea

    Kabla hujaumbika ukaumwa
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ikulu yakanusha tuhuma ya Rais Magufuli kupunguza ulinzi kwa marais wastaafu

    Tuombe mema ili lifanye mema
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mkutano mkubwa wa hadhara wa kumtambulisha Katibu mkuu CHADEMA Dr Vicent Mashinji -Furahisha Mwanza

    Udaktari na siasa wapi wapi?yaani Jana ulikuwa unatibu binadamu Leo unapanda jukwani kwenda kutukana au kuponda watu,Mungu ambariki sana
  7. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Balozi John William Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

    Anaongea kama kalazimishwa
  8. M

    JamiiForums Tanzania JPM usikubali udhaifu huu kwenye vivutio uendelee

    Hapo si rais ni wewe na mfuko wako au gari yako kwenda kutembelea huko
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mwiba Holdings Limited

    Wametanguliza pesa mbele kushinda sheria ambazo wamekubaliana
Back
Top Bottom