Inawezeka Ngoja tusubili tuone nini kitaendeleaAtapelekwa kutengo kisicho na umaarufu kama maswi, nilijuaga maswi hayupo kumbe ni Katibu tawala mkoa.
Mbona anaongea kwa unyonge sana? Kunanini??
Ni kauli ya kumstahi tu mtumbuliwa, ndo ntolee hiyooo!MAGU si alisema hatoi mtu hapa afu ampeleke kule... ni kumfukuza kabsaa... namshanga kwa huyu SEFUE eti atampangia kwengine... DUH!!!!!!!!!!!
What a nasty post. Mnatujazia server bureeeHaya ni maoni yangu tu yaani jinsi ninavyodhania, ni hivi kwa hali ya kawaida jana Jumapili Raisi Magufuli alitakiwa awe Akraa, Ghana kusherehekea miaka 59 ya Uhuru wake ambapo viongozi wengi wengi wa Kiafrika walialikwa na kuhudhuria akiwemo Uhuru Kenyata wa Kenya!
Sasa Magufuli wetu hakwenda nafikiri hakuona umuhimu wa kutumia fedha zetu za kodi tunazozichumia juani na kwa tabu kwenda tu kuuza sura huko Ghana na kutoa hotuba za kudanganyana kama ilivyo kawaida!
Sasa ili kuzuga na kukwepa hiyo safari kwa maana maadhimisho yalikuwa J'pili ina maana asingekuwa na kisingizio cha kukwepa hivyo akaamua kufanya kazi ya kumbadilisha Katibu Mkuu Kiongozi, sisemi kwamba KK amebadilishwa kwa sababu ya Uhuru wa Ghana wa bali kwa kawaida alipaswa kwenda Ghana kwenya sherehe za Uhuru!
He previously served as Permanent Secretary in the then Ministry of Works when President Magufuli was a minister in the docket. Born on November 18, 1956, Eng Kijazi has a Bachelor of Science in Civil Engineering degree from the University of Dar es Salaam (UDSM) and Masters Degree in Highway Engineering from the Birmingham University in the United Kingdom.
Haya ni maoni yangu tu yaani jinsi ninavyodhania, ni hivi kwa hali ya kawaida jana Jumapili Raisi Magufuli alitakiwa awe Akraa, Ghana kusherehekea miaka 59 ya Uhuru wake ambapo viongozi wengi wengi wa Kiafrika walialikwa na kuhudhuria akiwemo Uhuru Kenyata wa Kenya!
Sasa Magufuli wetu hakwenda nafikiri hakuona umuhimu wa kutumia fedha zetu za kodi tunazozichumia juani na kwa tabu kwenda tu kuuza sura huko Ghana na kutoa hotuba za kudanganyana kama ilivyo kawaida!
Sasa ili kuzuga na kukwepa hiyo safari kwa maana maadhimisho yalikuwa J'pili ina maana asingekuwa na kisingizio cha kukwepa hivyo akaamua kufanya kazi ya kumbadilisha Katibu Mkuu Kiongozi, sisemi kwamba KK amebadilishwa kwa sababu ya Uhuru wa Ghana wa bali kwa kawaida alipaswa kwenda Ghana kwenya sherehe za Uhuru!
Naona hapo kumbe huyu bwana alizaliwa November Mwaka 1956!! atafikisha umri wa kustaafu soon (bado miezi 7 tu), hii ina maana Mags atafanya uteuzi mwingine November?
Bado utumbuaji wa majipu kwa wateuli ambao wameshindwa (ku perform) kama waziri simbachawene, serikali za mitaa zinamshinda/zimemshinda kwa jiji la Dar Mayor ni mpaka Rais aingilie kati?!!!! kama kashindwa ya jiji la Dar ni sawa na kushindwa Tanzania nzima.Tufike mahala tukubali ya kuwa kiongozi wa umma kutuhumiwa hata kwa jambo dogo
ikuondolee sifa kuwa kiongozi.
Kuondolewa ama kutokundolewa kwa Mh.Balozi Sefue iwe ni mwanzo wa viongozi wote
kutokukubali kutumiwa na wachache kwa manufaa yao.
Ifike mahala kazi za utumishi wa umma isiwe ni hati miliki ya baadhi ya watu au familia
fulani kujilimbikizia mali au kujiona ni zenye nguvu kuliko wengine katika maamuzi.
Binafsi namkubali sana Katibu Kiongozi,lakini linapokuja suala la shutuma juu yake
alafu wakati huo huo kuna maaelekezo kutoka ikulu yakitengua uteuzi wake basi hapa
kuna tatizo.
Kwa nchi ilivyo sasa ni bora kwa awaye yote kujipima mapema na kama ikiwezekana
ni bora ukajiondoa mapema kwani kujiondoa mapema kunaweza kukuepushia mengi
kuliko kung'ang'ania uongozi.(eti mpaka kieleweke).