Recent content by Mmasai orgn

  1. Mmasai orgn

    Ni Njia Gani Unaweza Kumuona Rais

    Habari zenu ndg zangu natumaini mnaendelea vyema na majukumu yenu! Nilikuwa nataka msaada ni njia gani ya kumuona Rais JPJM?
  2. Mmasai orgn

    Huyu traffic Riziki wa Kibaha achunguzwe, ana coaster sita, Hon Mpinga tusaidie

    Kweli umetia aibu pdiddy uzi wako una mawili, mosi ni kweli jamaa wanakula rushwa mbaya barabarani hlo halina ubishi, pili ni jinsi ulivyoainisha mali za mshkaji kuwa anamiliki Coaster na sijui Alteza sasa ulitaka amiliki nini? Kwani ni dhambi kumiliki vyombo vya usafiri? Hpo mkuu hzo ni chuki...
  3. Mmasai orgn

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Habari zenu wakuu! Huu uzi ni mzuri kwa wale wakulima wa kitunguu ningependekeza na kutilia mkazo kweli lingeundwa group humu la whatsapp kwa wale wadau ili tuwe na umoja wetu tukutane tupange na kueleweshana mikakati juu ya kilimo cha kitunguu naona itakuwa jambo jema kwa wale wageni kama mimi...
  4. Mmasai orgn

    Yuko wapi FaizaFoxy wa JamiiForums?

    Una hekima kaka kaka yako wa Msoga,kweli umejibu kwa staha mpaka nikashangaa kwasababu nilikuwa napitia hii thread kutafuta majibu yako
  5. Mmasai orgn

    Je, Ni kweli magereza ya Tanzania yamefikia hali hii?

    Hyu Kitwanga anakimbizana na boda boda anaacha kuangalia mambo ya msingi kuna haja yakuteua wendawazimu kuwa mawaziri
  6. Mmasai orgn

    Vanessa Mdee katika skendo kubwa ya kutumia madawa ya kulevya (Heroin)

    Kwann hamumtaji hyo mnayesema ni rafiki yake wa kiume kama ni mtanzania atumbuliwe jipu kabla halijawa chungu kwa hyu binti?
  7. Mmasai orgn

    TID ni hatari sana!

    Tupieni picha yake humu
  8. Mmasai orgn

    Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Ubungo au K/nyama

    Fazam ipo wap hyo mbn hujibu au nikuone pm?
  9. Mmasai orgn

    Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

    Ww kama hujui lugha za watu usizitumie kwani ukiandika kiswahili lugha yako vidole vinavimba au? Eti refer Whitney Houston and his daughter" shame on you next time post on your own language
  10. Mmasai orgn

    Uwekezaji huu wa Dangote uangaliwe upya

    Kweli umenena hzo ajira za experts ziwekwe wazi kwa wizara husiku tuangalie ni vigezo gani vinatumika kuwabagua wasomi wetu, haiwezekani serikali iingie gharama kubwa ya kusomesha watu wake na watu kukaa darasani miaka yote hyo leo waje kuonekana hawana utaalamu eti mpaka watoke nje this is...
  11. Mmasai orgn

    Unataka kuwa wholesaler au agent wa simu?

    Iko poa hii na je ni aina gani ya simu?
  12. Mmasai orgn

    VIDEO: Rais Magufuli akizungumza Kiingereza safi

    Na mimi nimelipenda jibu lako liko sahihi kabisa na sisi tujivunie lugha yetu kama Wachina
Back
Top Bottom