Recent content by Mmanu

  1. Mmanu

    Tetesi: Imevuja: Njama ya kuifuta CHADEMA yabainika, Ndio kipaumbele cha kwanza cha Mwigulu

    Bandari na Gas vyote viko chini ya wawekezaji jambo ambalo ni la kawaida kwa Dunia ya kisasa serikali kuwekeza kwenye maeneo yote ya kiuchumi kwa lengo la kuleta ufanisi wa utekelezaji wake pmj na kutoa matokeo mazuri na yenye tija kwa uchumi wa taifa Hapa hata iwe Chama gani hakiwezi kukwepa...
  2. Mmanu

    Tetesi: Imevuja: Njama ya kuifuta CHADEMA yabainika, Ndio kipaumbele cha kwanza cha Mwigulu

    Kama viongozi wake wa juu wanawaza kuiweka nchi rehani na kukabidhi mikono ya taasisi kubwa za nje kuna sababu ganhi ya kuendelea kuwa na chama kisichokuwa na maono thabiti kuhusu maslahi ya taifa? Mtoa taarifa umekaa kishabiki sana
  3. Mmanu

    Msaada wa taarifa. Nataka nikaishi kisiwa cha Mafia maisha yangu yaliyobakia

    Umewaza sana kugegeduana kuliko kwenda kumalizia hayo maisha uliyoyasema
  4. Mmanu

    Nimekutana na link za matangazo ya silaha. Je, ni mtego kwa raia au ndiyo washaingia?

    Uliposema walikutajia tarehe ya kufa na kuzikwa mjomba Yako pamoja na picha mbili za mazishi hapo hapo nikaishiwa pozi.... Kama mtandao huo unaweza kujua taarifa za mtu asiyewahi kutumia huo mtandao basi hakuna kisichowezekana kukujua hata wewe uliyejaza hizo taarifa za mjomba yako
  5. Mmanu

    Kinachoitokea Chadema kwa sasa ni Kuzaliwa Upya Kifalsafa kwa sababu kwa zaidi ya miaka 20 waliishi kwa Kudanganywa na Kudanganyana!

    Rejea kwenye chaguzi mbalimbali utakuja kugundua kuwa CCM wanawazidi fitina vyama vya upinzani Lowasa kuhamia chadema na kurudi CCM ghafla haikuwa bahati mbaya...ule ni mpango wao na wali win battle. Kinachoendelea chadema ndani ya Chama kuanzia kwenye uchaguzi na mpasuko unaoendelea..haya sio...
  6. Mmanu

    Kinachoitokea Chadema kwa sasa ni Kuzaliwa Upya Kifalsafa kwa sababu kwa zaidi ya miaka 20 waliishi kwa Kudanganywa na Kudanganyana!

    Ni kweli sio wajinga na angeleta athari japo ni kwa sehemu ndogo sana CCM fitina za kisiasa wanaziweza sana Hata 2030 hautakuwa na upinzani wa maana sana maana kuna bomu litakuja kutokea kwa upinzani hasa Chadema
  7. Mmanu

    Kinachoitokea Chadema kwa sasa ni Kuzaliwa Upya Kifalsafa kwa sababu kwa zaidi ya miaka 20 waliishi kwa Kudanganywa na Kudanganyana!

    Ni kweli lkn tunaliangalia kwa ukubwa wake...CCM Huwa hawaaminiki sana kwenye watu wake wanaojifanya kujitenga na chama unakuta leo kufanya hivi kesho kajiunga kwenye kampeni za chama Kumbuka kwa Lowasa na Sumaye Mpina, HP, na Gwaji boy Hawa wote watarudi kundini na watapiga kazi kama kawaida ni...
  8. Mmanu

    Kinachoitokea Chadema kwa sasa ni Kuzaliwa Upya Kifalsafa kwa sababu kwa zaidi ya miaka 20 waliishi kwa Kudanganywa na Kudanganyana!

    Hivi ndivyo mindset za Wana chadema zilivyojengwa kila anayepinga jambo fulani basi anatumika na anakihujumu chama Chama kinaendelea kupoteza asserts kila kukicha na maana halisi ya upinzani inaendelea kupungua
  9. Mmanu

    Kinachoitokea Chadema kwa sasa ni Kuzaliwa Upya Kifalsafa kwa sababu kwa zaidi ya miaka 20 waliishi kwa Kudanganywa na Kudanganyana!

    Ugumu ulizungumziwa kwa CCM kupata upinzani mkubwa kutoka kwa upinzani kwamba mwaka 2025 ulitabiriwa upinzani kuwa mkubwa kuliko nyakati zote kutokana na namna chaguzi ya 2020 chini ya Magufuli kufanyika mambo mengi ya hovyo na hata baada ya uchaguzi... Suala la kuondoka kwa Mbowe ndiyo ilikuwa...
  10. Mmanu

    Kinachoitokea Chadema kwa sasa ni Kuzaliwa Upya Kifalsafa kwa sababu kwa zaidi ya miaka 20 waliishi kwa Kudanganywa na Kudanganyana!

    Wafuasi bila viongozi wenye Nia thabiti na misimamo hakika hakuna maana yeyote maana viongozi ndiyo maono ya wafuasi na chama kwa ujumla
  11. Mmanu

    Mazungumzo ya Mfanyabiashara Rostam Aziz aliyoyafanya na UTV

    Kama ni hivyo tukubaliane kwamba HP alikuwa anatupanga kwenye hili Je kwa nia ipi?
  12. Mmanu

    Mazungumzo ya Mfanyabiashara Rostam Aziz aliyoyafanya na UTV

    Inamaanisha kila Rais anayeingia madarakani anakuwa na mtandao wake na sio kama vile Polepole alivyotuaminisha Lakini hapa kuna mmoja anatupanga wenzake na ukweli utafahamika
Back
Top Bottom