Umeathirika na propaganda za westerners ambao siku zote hawanaga ukweli kwenye haya mambo for 💯...huyu Trump amechizika tyr huko Kila siku ngonjera kibao
Inauma sana kuona tunanyanyasana wenyewe kwenye nchi yetu...hii ni dhuruma ambayo inapaswa kupingwa kwa nguvu zote..
Nguvu ya wakulima na kuja na sauti moja ya kukataa huu udharimu itakuwa ndiyo njia kuu ya kuiondoa uonevu huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.