Bandari na Gas vyote viko chini ya wawekezaji jambo ambalo ni la kawaida kwa Dunia ya kisasa serikali kuwekeza kwenye maeneo yote ya kiuchumi kwa lengo la kuleta ufanisi wa utekelezaji wake pmj na kutoa matokeo mazuri na yenye tija kwa uchumi wa taifa
Hapa hata iwe Chama gani hakiwezi kukwepa...
Kama viongozi wake wa juu wanawaza kuiweka nchi rehani na kukabidhi mikono ya taasisi kubwa za nje kuna sababu ganhi ya kuendelea kuwa na chama kisichokuwa na maono thabiti kuhusu maslahi ya taifa?
Mtoa taarifa umekaa kishabiki sana
Uliposema walikutajia tarehe ya kufa na kuzikwa mjomba Yako pamoja na picha mbili za mazishi hapo hapo nikaishiwa pozi....
Kama mtandao huo unaweza kujua taarifa za mtu asiyewahi kutumia huo mtandao basi hakuna kisichowezekana kukujua hata wewe uliyejaza hizo taarifa za mjomba yako
Rejea kwenye chaguzi mbalimbali utakuja kugundua kuwa CCM wanawazidi fitina vyama vya upinzani
Lowasa kuhamia chadema na kurudi CCM ghafla haikuwa bahati mbaya...ule ni mpango wao na wali win battle.
Kinachoendelea chadema ndani ya Chama kuanzia kwenye uchaguzi na mpasuko unaoendelea..haya sio...
Ni kweli sio wajinga na angeleta athari japo ni kwa sehemu ndogo sana CCM fitina za kisiasa wanaziweza sana
Hata 2030 hautakuwa na upinzani wa maana sana maana kuna bomu litakuja kutokea kwa upinzani hasa Chadema
Ni kweli lkn tunaliangalia kwa ukubwa wake...CCM Huwa hawaaminiki sana kwenye watu wake wanaojifanya kujitenga na chama unakuta leo kufanya hivi kesho kajiunga kwenye kampeni za chama
Kumbuka kwa Lowasa na Sumaye
Mpina, HP, na Gwaji boy Hawa wote watarudi kundini na watapiga kazi kama kawaida ni...
Hivi ndivyo mindset za Wana chadema zilivyojengwa kila anayepinga jambo fulani basi anatumika na anakihujumu chama
Chama kinaendelea kupoteza asserts kila kukicha na maana halisi ya upinzani inaendelea kupungua
Ugumu ulizungumziwa kwa CCM kupata upinzani mkubwa kutoka kwa upinzani kwamba mwaka 2025 ulitabiriwa upinzani kuwa mkubwa kuliko nyakati zote kutokana na namna chaguzi ya 2020 chini ya Magufuli kufanyika mambo mengi ya hovyo na hata baada ya uchaguzi...
Suala la kuondoka kwa Mbowe ndiyo ilikuwa...
Inamaanisha kila Rais anayeingia madarakani anakuwa na mtandao wake na sio kama vile Polepole alivyotuaminisha
Lakini hapa kuna mmoja anatupanga wenzake na ukweli utafahamika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.