Recent content by Mmanu

  1. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Ukitaka mafanikio, Vunja urafiki na mtu ambaye hakuongezei thamani katika maisha yako

    Unahamasisha utengno badala ya kuhamsisah watu kushikamana na kunyanyuana kwenye maisha...tuache ubinafsi kbsa
  2. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Mzee Trump amesitisha mashambulizi aliyopanga kufanya Leo baada kujigamba atatoa kichapo leo

    Umeathirika na propaganda za westerners ambao siku zote hawanaga ukweli kwenye haya mambo for 💯...huyu Trump amechizika tyr huko Kila siku ngonjera kibao
  3. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Unyama: Halmashauri ya Wilaya ya Kyela yatoza wakulima ushuru kwa gunia moja la mpunga tsh 2000/= hata kama hauuzi

    Inauma sana kuona tunanyanyasana wenyewe kwenye nchi yetu...hii ni dhuruma ambayo inapaswa kupingwa kwa nguvu zote.. Nguvu ya wakulima na kuja na sauti moja ya kukataa huu udharimu itakuwa ndiyo njia kuu ya kuiondoa uonevu huu
  4. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Je, vijeba hawa watafurukuta Kombe la dunia? Ronaldo miaka 41 na Messi miaka 39!

    Kwakuwa ni timu Messi sio
  5. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Je, vijeba hawa watafurukuta Kombe la dunia? Ronaldo miaka 41 na Messi miaka 39!

    Ronaldo ni mtu hatari sana tutegemee kutoa kile alichozoea kujitoa CR7 GOAT
  6. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Mabinti wanaokaa peke yao wanaongoza 'kujibaka'

    Dunia hii sasa inakwenda parapanda
  7. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa kulazimisha mtu awe na majina matatu hata kama vyeti vyake vya taaluma vinayo mawili siyo sawa

    Achukulie mfano majina ya kule Zanzibar akina Ali Ali ni wangapi
  8. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Huyu dogo Hana Miaka 14. Wadanganyeni Wengine!

    Kma utakuwa na kumbukumbu kumbuka lile sakata la yule mwamba wa congo Brazzaville kilichotokea bas
  9. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Huyu dogo Hana Miaka 14. Wadanganyeni Wengine!

    Huwa wanapimwa vijana wa mataifa yote tena na wataalamu kutoka CAF kabla ya mashindano
  10. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Huyu dogo Hana Miaka 14. Wadanganyeni Wengine!

    Hakukuwa na vipimo vya umri? Maana huwa vinatumika kabla ya kuanza kwa mashindano husika
  11. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Kile kikao kilichopindisha utaratibu wa chama kumbe ni "Yuda" alijipanga, akashtukiwa na kupewa cha namba 2 ili kummaliza kabisa

    Hizi ramli ndizo zinamtoaga kwenye reli Awamu iliyopita mlipiga hii ramli kwa Mpango na sasa mnazihamishia kwa Nchimbi..
  12. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Awamu ya 6 na Jiji la Dar - barabara kwishney!

    Umeandika upuuzi tupu
  13. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Je, unafahamu Credit Report yako? Taarifa yako ya UKOPAJI?

    Au ndiyo maana crdb wananikalia kimya nilipoomba mkopo maana ni mwezi sasa toka nimepeleka maombi
Back
Top Bottom