Recent content by Mmanu

  1. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Bado ni kama tunazunguka mbuyu kwa speed sawa means hatuwezi kukutana... Hakuna kificho kwenye suala la sheria "Akina Katuga wamepata hizo taarifa kisheria?" Hili swali ndilo lilitakiwa lifanyiwe kazi na majibu yapatikane kabla ya kufikia conclusion ya kutoa hukumu kwamba akina Katuga...
  2. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Lisu ameuliza kuhusu uenguaji wa wagombea wa chadema kwenye chaguzi kadhaa zilizopita huko nyuma...vipi maswali hayo yana uhusiano gani na kesi yake ya uhaini?
  3. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Umekuja kujibu nilichouliza au umeleta swali juu ya swali? Kwenye hii kesi Lisu hana mawakili
  4. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Hapo umezungumzia scenario ya kuwa na mashaka juu ya miamala ya mteja fulani ndipo huo mtiririko unafanyika.. Swali ni hili au ombi ni hili Unajua ni Sheria gani inampa mamlaka mtu kupata taarifa za akaunti ya mtu mwingine? Au tuletee taratibu zinazokataza mtu kuwa na taarifa za mtu mwingine...
  5. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Exactly 💯
  6. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Unampangia muulizaji maswali aulize maswali yanayokufurahisha wewe? Kwenye cross-examination unauliza namna yeyote unavyotaka ilimradi umwondoe shahidi kwenye mstari ili kupima ukweli wa kile alichokisema kama kina ukweli ama laa..
  7. Mmanu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni wakandamizaji wa Uhuru wa maoni na kujieleza kwa watu. Hawana tofauti na CCM

    Kabisa tena wanakuchukia moja kwa moja
  8. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Kwanza kabla hujafika conclusion yako kuhusu namna ya hao mawakili walivyopata hizo taarifa za account unajua Kuna taratibu zipi za kisheria zinazowaruhusu hao kufanya hivyo? Au tuletee kipande cha Sheria kinachokataza au kutoa utaratibu wa mtu mwingine kupata taarifa zako za akaunti
  9. Mmanu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni wakandamizaji wa Uhuru wa maoni na kujieleza kwa watu. Hawana tofauti na CCM

    Ni afadhari upingwe kwa hoja hapo tunaita hoja kwa hoja ila wapo wanaoenda mbali zaidi ya hizo hoja na kufikia kutoa matusi na kejeli kama unavyosema...
  10. Mmanu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni wakandamizaji wa Uhuru wa maoni na kujieleza kwa watu. Hawana tofauti na CCM

    Binafsi nimekuwa nikipigwa vita sana pale ninapokosoa jambo lolote kuhusu chadema
  11. Mmanu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni wakandamizaji wa Uhuru wa maoni na kujieleza kwa watu. Hawana tofauti na CCM

    Hii umepiga angle zote za uwanja na kukabia kwa juu yaani kwa kifupi umetoka somo kubwa sana japo wapo watakaokupinga kwa huu ukweli ambao ni ukweli mtupu
  12. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Promoters nipeni show, Hatuwezi shindwa kwenda congo, Burundi au Rwanda tukakosa pesa

    Ok ok ngoja niwatafute mapromoter kwa huku kijijini niliko huenda wakachangamkia fursa
  13. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Promoters nipeni show, Hatuwezi shindwa kwenda congo, Burundi au Rwanda tukakosa pesa

    Tuonyeshe nyimbo zako mkuu salamu baadae 😅
  14. Mmanu

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuache kutengeneza taharuki. Kama Nchimbi ana shida familia yake ingesema

    Umeandika kitu kikubwa sana lakini bado tunarudi kule kule..je Kuna jitihada zimefanyika za kumtafuta anakoishi na akakosekana? Nimejaribu kuongea hilo ili tuwe na uhakika wa tunayoyaongea na sio kubuni kwa hisia zetu
  15. Mmanu

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Kikubwa hiyo kampuni umeona kiasi alichopiga ni kikubwa sana Hadi wamekitamani na wao.
Back
Top Bottom