Una hakika Majah, kwa taarifa yako hata ukiwa kwenye ndoa unaweza lishwa najisi vilevile. Cha msingi kama uhakika wa maziwa upo ufuge ya nini? Sifa au unatafuta presha?
Kilombero hatuna mbunge, mteketa ni mteuliwa wa tume ya uchaguzi, wananchi wa kilombero mbunge wetu amefariki(bi regia mtema) tunasubiri tume iitishe uchaguzi tuchague mbunge mwingine. M4C daima mpaka kieleweke.
Umenena vema Dada Anita mungu akujalie roho ya imani na upendo hivyohivyo siku zote za maisha yako. Wanadamu wa siku hizi tunajali sana vitu kuliko utu, Natalia mshauri vizuri rafiki yako pasipo huyo mama huyo mme alienae angemwona wapi? Huyo rafiki yako anapenda tunda la nazi tu lkn mnazi wenye...
Big up kaka makene kwa ufafanuzi mzuri nafikiri sasa ndugu yetu Rockcity native atakua ameelewa kwanini gwiji la sheria na lugha adhimu Pro Safari haonekani mara kwa mara kwenye siasa za majukwaani.
Duuuuu!!! Huyu mjeda ndo kalala mbele au atarudi? Kama vp tomorrow ngoja nipige mbonji kila siku kulala midnight kama mlinzi.ila jamaa anatutesa sana usikute anamgegeda wit wake si tunabung'aa ka mipopo twa msubiri.
Nakubaliana na makene maswala ya mahusiano hayana formula inategemeana na mazingira ya wahusika ktk uhusiano.mfano mdogo wangu yeye na mkewe wote ni matall lkn daily kesi haziishi tatizo mwanamke anamepenzi yaliyopitiliza na Wivu ndani yake lkn hapati mrejesho anaotarajia kutoka kwa mume.mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.