kwa nini hujaoa mpaka sasa?

kwa nini hujaoa mpaka sasa?

Ok,
Umri 32 years.

Siku moja nilikua napitia laptop yangu nisikilize tu nyimbo mbalimbali. Nikachagua kadhaa na kuziweka kwenye playlists.

Sasa wimbo wa "Mwana FA utaoa lini? " nao ulikuwepo pia. Yaani nilivyousikiliza huu wimbo ulinigusa sana aisee. Maana niliurudia zaidi ya mara 10 ili nimuelewe vizuri Mwana FA.

Since then nikaona kama wanawake wenyewe ndo wako hivyo, wacha niendelee kuwepo kuwepo tu.
 
Ndugu kuoa m/Mke yeyote ukitaka hata kesho unaoa ila isije kuwa Ndoano badala ya Ndoa, au usije ukataka kuoa kisa flani kaoa itakugarim na kuoa kuacha, kuoa kuacha sio sifa.
Kwahiyo mkuu hapa ni suala la kutafuta Wife Material.
 
ikizingatiwa kuwa wanaume ndio initiators wa ndoa /wenye maamuzi ya kuamua.toa sababu yako hapa why mpaka leo bado hujaamua kuoa while everything including ur age vinaruhusu.......

Nothing but the Truth

Ni story ndefu ila panapo majaliwa ipo cku tu.
 
Kuoa ni jambo linaloshirikisha mtu zaidi ya mmoja,hivyo kumlaumu mtu mmoja kwa kutokuoa au kuolewa sio sahihi
'
Mtu anaweza kuwa tayari kuingia kwenye ndoa lakini yule anaetaka kuoana nae akawa hataki
'
Pia kuna suala la kumpata alie sahihi,huwezi kukurupuka kuingia kwenye ndoa kwa sababu ya umri
'
Kuna wengine hawahitaji ndoa kwa sababu tofauti tofauti,hivyo akawa haitaki ndoa
'
Kwa kifupi,ndoa kwa mtu anaeijua thamani yake hawezi kulazimishwa kuingia kwa kufuata umri au watu fulani!

Kaka Eiyer mbona hujajibu swali kaka??!


in the process! becoz:
1.muda umefika
2.nimempata nilieridhika nae, sihitaji mambo mengi: anifulie nguo, anipikie na anipe pale kati basi!!

and not becoz nimejipanga! kila nikijipanaga nashindwa!!!!

then give me goodluck!

Hahaha wewe unaoa housegal au?
 
Last edited by a moderator:
Hata nkitaka kuoa we nambie ntamuoa nani...! Vere siriaz...labda sitembei sana lakini wengi nikutanao nao ni majanga.
 
Ur not serious.hayo maziwa nw dyz yana madhara

Una hakika Majah, kwa taarifa yako hata ukiwa kwenye ndoa unaweza lishwa najisi vilevile. Cha msingi kama uhakika wa maziwa upo ufuge ya nini? Sifa au unatafuta presha?
 
dado yupoyupo kwanza na mbelambwela haha lenu ilo wanaume wa jf jibuni
 
kuoa sio kitu rahisi kma vjana wengi tunavyofkiria.Kma kjana inakubidi kwanza ujipange kimaisha na ndipo uwze kupata mwenzi wako kwani dunia yetu hii ya karne ya 21 ni tofauti na ile ya karne zilizopita kwani sasa hvi wnawake wengi wmekuwa wakitaka kuolewa na mtu mwenye na kitu fulani na sio yule ambae hna kitu ili waende wakachume wote.

kuona kjna hajaoa mpka sasa sio tu kwa sababu labda hakuna wanawake wazuri kitabia na kmaumbile laaa hasha!!!hao watu wapo lakn kumpta mwenye mapenzi ya dhati c kwako tu bali hata kwa watu wnaokuzngka karbu yko ni ngumu kumpta mwanamke wa namna hiyo hivyo inakubidi ww kma kjana mwenzangu kujipanga kwanza na ndo utaona faida ya ndoa na hasa ukiwashiliksha wazee katika kutafuta unaedhani ni sahihi kwako!
husia wangu kwa vjna wenzangu,Usiingie kwenye ndoa under influence eti kwa kuwa rafk ykoa kaoa basi na ww unajiingza ktk ndoa bila ya kufuata malengo yko uliojpangia.
 
Back
Top Bottom