Recent content by mmanento

  1. M

    Wanafunzi wa vyuo wanaongoza kwa kujiuza

    Kweli especially Facebook mabinti wanajiuza wanakuja kwenye chat na wapo tayari kwenda popote kutoa huduma
  2. M

    Natafuta kazi ya ya udereva

    NHIF wametangaza nafasi 12 mwisho Novemba 30, nenda website yao.
  3. M

    Gabriel Fuime: ashtakiwa Kesi ya Mauaji

    Nimekuta taarifa hii sehemu kuhusiana na Mkurungenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala jijini Dar- es- Salaam, Gabriel Fuime (61), kufikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu mashitaka manne ya mauaji ya watu wanne. Ambapo Fuime alisomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi Augustina...
  4. M

    Angalizo: Wanaoagiza Wafanyakazi wa Ndani Toka Mikoani

    Aisee, kweli hiyo Bongo DSM, watu hawakosi namna ya kupata cha kupelekea mkono mdomoni.
  5. M

    Point za madaraja - Matokeo ya form four yako kisiasa zaidi

    Kweli zipo IV za 41, sasa nimepata jibu la division zero kupungua mwaka huu, lakini Mulugo si alipinga haya madaraja bungeni kwamba waziri yupo juu ya katibu mkuu hivyo kauli yake ndio final. S0682/0023 F 29 III CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'B' LIT ENG - 'C' BIO - 'C'...
  6. M

    Wabunge wagomea posho ya laki 3, wasema ni ndogo

    Aisee taratibu tunaanza kufahamiana, tukiwa pembeni ni rahisi kushambulia wengine kuwa wabinafsi, sasa huu sio ubinafsi kama graduate wa chuo kikuu anaanza kazi ya serikali kwa mshahara wa tsh. 500,000/=(tgs d) hana nyumba, kitanda n.k lakini anaendelea kuishi maisha hayo duni na kufanya kazi...
  7. M

    Mpasuko CCM: Watofautiana juu ya Serikali mbili

    Kinachosababisha watu kutaka mabadiliko ya sasa ni malalamiko ya kuhusu kero za Muungano, na kuona serikali 3 ndio suluhisho la kumaliza malalamiko, kama CCM wanaona watatua kero hizo ni sawa, lakini watanzania hawataki kusikia tena neno kero za muungano.
  8. M

    Mambo 10 unayoyafanya yanayo haribu figo lako mwilini

    Somo zuri sana, lakini tunaopunguza mwili tunaambiwa kadri tunavyokuwa tupunguze vyakula vya wanga na kuongeza kula protain, sasa nyama si ni protain?
  9. M

    Leave Jesus alone!

    Mabosi wanazani kupewa ngono na wanafunzi kutoka vyuo wamepata, kumbe watoto wenyewe hiyo kitu sio issue ameanza kugawa kwa mwalimu wake wa primary, sekondari, chuo bila kusahau tuition, na leo eti mabosi wanashobokea kwake sio issue atawapanga tu hadi awe viti maalumu. Viongozi wajiheshimu...
  10. M

    Tanzania's GDP: Hivi tunajua hili?

    Ni kweli kwamba gdp sio nzuri katika kusema ni nchi ipi tajiri au masikini mfano equatorial guinea wanairank ya pili duniani kwa utajiri zaidi ya usa ambapo si kweli;lakini watanzania tuna mengi tunayodaiwa kwa habari ya uchumi:kwani maisha ya mtu wa kijijini na mtu wa dar nitofauti kubwa sana...
Back
Top Bottom